Leo Okwi alikuwa rikizo pale Kirumba....hahahah
Manura kajitetea anasema wakati anaruka alihisi kitu kizito kinaingia ikabidi atulie na hatimae likawa bao la piliBao kama lile alifungwa AGYEYI akafukuzwa, tutegemee Manula naye afukuzwe...
HahahahaaaaaaManura kajitetea anasema wakati anaruka alihisi kitu kizito kinaingia ikabidi atulie na hatimae likawa bao la pili