Simba SC ndio wameshaanza Ligi

Nimesikia kuna mchezaji wa Mbao kufunga goli lisilojulikana,wapimaji wanasema eti mita alizopigia pia hazijulikani

Bao kama lile alifungwa AGYEYI akafukuzwa, tutegemee Manula naye afukuzwe...
 
Ligi ya bongo ina wenyewe asee mi ni shabiki wa mandondo Naepl ila ligi ya voda ishanishinda
 
Leo yeboyebo mmejitokeza,siku ya mechi yenu mnakimbia jamii forums,siku ya mechi yenu tunawasubiri mtiririke kama leo
 
Kuna tetesi eti ule mpira uliopigwa na dogo wa mbao umeonekana maeneo ya singida,tff fanyieni kazi tetesi hizi.
 
Ndugu yangu manara. Msemaji WA simba nakupongeza Sana kwa kuipenda simba Kwa dhati ya moyo wako. Lkn pmja na kuipenda simba nimekufatilia Kwa misimu mitatu 3 ya ligi yetu khs usemaji wako nimeona nikushauri. Mara nyingi usemaji wako umeigharimu simba yetu. Nikushauri usemaji wako Uwe na hekima bakiza maneno mengine. Kwa wale ndugu zangu wanajeshi wanajua. Yn si vyema kuanika silaha zako zote Kwa adui yk. Haji manara unazungumza hadi unakera kuwa na hekima acha majivuno acha kuwapa adui faida acha kuwazindua adui zako unazungumza hadi inawashtua Adui zako. Haji jirekebishe umekuwa si mwanahabari umekuwa mc WA vigodoro haji ss Wanasimba unatukera unaharibu mikakati ya ushindi. Jirekebishe haji.
 
Hizo coment hapo za wadau hapo juu nimecheka sana aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…