Simba SC ndio wameshaanza Ligi

Wao kila msimu wanaamini ubingwa ni wao. Kama mgonjwa wa Ukimwi aaminivyo ataishi miaka mingi zaidi.
Wanamsiliza Haji Manara kila mwanzo wa msimu akiwapa the same story. They will never learn!
 


Tamaa ya pesa tu ndio iliyomponza....Nadhani sasa huenda akawa anajutia uamuzi wake.
 
Kuna mchezaji wa Mbao fc ana kadi tatu za njano, tunakata Rufaa....!!
 
Tangu ilipomfunga Yanga 6-0.?

Je wajua tangu siku hiyo mpaka leo hii Yanga amekusanya ndoo nyingi za VPL kuliko Simba...?
Andika kama mtanzania vipi kiswahili hiki ktk uulizaji wa swali.
Leta rekodi mlizovunja hapa.
 
Dk 80 tu Madera FC walishaanza kuondoka uwanjani.... Shabaaaaaaaaash,
Wana chura churani pambaneni na hari yenu mkasaidie kujaza kifusi pale matopeni wachezaji awana pakufanyia mazoezi mnashabikia matajiri wa msmbazi daa nishidaa
 
Wana chura churani pambaneni na hari yenu mkasaidie kujaza kifusi pale matopeni wachezaji awana pakufanyia mazoezi mnashabikia matajiri wa msmbazi daa nishidaa

Una habari kuwa Bilion 1.3 imetoa sare na Milioni 13huko kanda ya ziwa..?
 
Una habari kuwa Bilion 1.3 imetoa sare na Milioni 13huko kanda ya ziwa..?
sasa wee uritakaje Mkuu wenzenu wameenda mahakamani Leo kumpigia magoti manji Ali tete wachezaji wanashindi vitumbuwa uku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…