Simba Sc ndiyo kinara wa points katika makundi yote CAF Champions

Simba Sc ndiyo kinara wa points katika makundi yote CAF Champions

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Screenshot_20210223-215614_Chrome.jpg

Screenshot_20210223-215632_Chrome.jpg


Kama hujui basi jua. Timu kigogo Africa Simba ndio kinara wao.

Habari za Simba Sc zimezagaa dunia nzima. Kwa hiyo sina haja ya kueleza saaaaana.

Kifupi ni kwamba kuna Wababe halafu kuna Mbabe
 
Waliokuwa wakibeza kuhusu "Visit Tanzania" sasa wanajionea Tanzania inavyopaishwa kimataifa na mnyama mkali kutoka msimbazi maana Uarabuni kote na Africa nzima leo wanamdiscuss aliyempiga club bora namba tatu duniani...Viva Barbara,F**k Senzo.
 
Vigogo wa Africa wengi apo kwenye msimamo mpaka sasa naona wanasuasua?
Al Ahly.
Mazembe.
Waedad.
Mamelody.
Zamaleck.
 
Hata mechi 2 za mwanzo vpl, epl walioongoza sasa hivi wako mikiani mwa ligi zao.

Muda ni hakimu mzuri.
 
Back
Top Bottom