Simba SC ndiyo Klabu pekee nchini yenye Meneja Mawasiliano na Habari huku zingine zikiwa na Maafisa Habari na Wapayukaji tu

Simba SC ndiyo Klabu pekee nchini yenye Meneja Mawasiliano na Habari huku zingine zikiwa na Maafisa Habari na Wapayukaji tu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kama umekasirika na Unabisha haraka sana hapo ulipo nitafutie Klabu nyingine ukiiondoa ya Simba SC yenye Cheo cha Meneja Mawasiliano na Habari.

Kuna Klabu moja ( ya Ligi Kuu ) siikumbuki Jina ila ninachokumbuka na kujua tu ni kwamba ina Maafisa Habari na Wapayukaji tena Wawili ambapo wakiwa mbele ya Mashabiki na Wanachama wao au mbele ya Waandishi wa Habari wanajifanya wanapendana.

Lakini ndani kwa ndani wao kwa wao ni Maadui, Wanarogana, hawapendani na Kutwa huwa wanaombeana mabaya ili Mmoja abaki na afaidi vyote vya Janja Janja Company Makao Makuu ghorofa refu kiasi na zuri Posta.
 
Hiyo.kazi wengine wanadhani sifa yake ni ubabaishaji wa mjini, kuwa na maneno mengi mdomoni bila kujali elimu.

Hawajui mdomo usipodhibitiwa iko siku utakiponza kichwa, wacha wasio na masikio waendelee kukaza shingo.
 
Kama umekasirika na Unabisha haraka sana hapo ulipo nitafutie Klabu nyingine ukiiondoa ya Simba SC yenye Cheo cha Meneja Mawasiliano na Habari.

Kuna Klabu moja ( ya Ligi Kuu ) siikumbuki Jina ila ninachokumbuka na kujua tu ni kwamba ina Maafisa Habari na Wapayukaji tena Wawili ambapo wakiwa mbele ya Mashabiki na Wanachama wao au mbele ya Waandishi wa Habari wanajifanya wanapendana.

Lakini ndani kwa ndani wao kwa wao ni Maadui, Wanarogana, hawapendani na Kutwa huwa wanaombeana mabaya ili Mmoja abaki na afaidi vyote vya Janja Janja Company Makao Makuu ghorofa refu kiasi na zuri Posta.
amekusaidia nn huyo meneja uhusiano we KOLO FC??
 
Ni kipya kipi alichonacho huyu mrembo wa SIMBA??, Hebu ngoja kuna jambo lipi la maana kalifanya mpk umuonee ni bora kuliko wengine??.

Ujinga ni kutaka kumfananisha na watu waliomzidi katika Kila jambo. Kuhusu mgogoro wa manara na Bumbuli wewe unakuhusu nini?

Au umekuwa kitetea unataka kubenyuliwa?. Katika maisha kukosana na mtu unayefanya nae kazi ni kawaida.

Mwanaume mwenye familia yako kufungua nyuzi zaid ya Moja kuongelea wanaume wenzako huo ni umalaya na utakuwa unawataka.
 
Kuna vyeo vingine ni vya hovyo kabisa na havina maana yoyote, eti sijui meneja wa mawasiliano wakati kazi anayofanya ni propaganda za kijinga tu.

Unakuta mtu anaongea tu kama fyatu na eti unakuta na chombo cha habari hasa redio pia kimempatia airtime ya kuongea upuuzi tu, ni mambo ya kiswahili kabisa yasiyo na faida yoyote.
 
Nchi hii tuna tatizo la kufikiria. Tunapenda kuwaza mambo ya kawaida sana. Hatushughulishi vichwa
 
Back
Top Bottom