Simba sc ni klabu madhubuti ya mfano wa kuigwa nchini Tanzania

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
NALIA NGWENA the big fan of Simba sc (shabiki Lia Lia).
Nimeona itakuwa siyo desturi/ utamaduni mzuri Kama sijaimwagia/ kuipa maua yake Simba sc.

Hakika inastahili kupewa maua yake tusisubiri mpaka wayada Casablanca aharibu hali ya hewa.
Hizi ndiyo sababu kuntu/maridhawa NALIA NGWENA mpaka namwaga maua hadharani.

Mosi, uongozi Bora wenyekutimiza malengo, kuanzia benchi la ufundi mpaka mwenyekiti mangungu hakika wanastahili pongezi maana ahadi zao zimetimia kwa asili Mia bila mbamba.
Mangungu alisema kipao mbele Chao ni kumfunga mtani na kweli yametimia.

Pili,Technic za ufundi zinazotumika katika kupata ushindi Kama vile kuchoma uwanja, kuingiza gari kinyume nyume

Hakika hapa nawapa kongolee nakumwaga maua mengi kwao.


Tatu na mwisho Simba imetimiza ndoto zake/kipaombele chake Cha timu kuvuka makundi Hadi kuishia robo.

Hapa namwaga maua Kama yote bila ya kua na wasiwasi yoyote.

NALIA NGWENA the Simba mnyama nguvu moja.

 
Kazi unafanya saa ngapi mwamba?????



Au ndio wale wa kuvuliwa ubingwa??????
 
Alooo sjui ni chama mbna unamharasii kiivo mkuu.
 
Hiyo Picha vp tena mkuu na hii vita tuliyo nayo
 
Ndivyo mitanzania ilivyo. Mijitu ya hovyo, unafiki, uzandiki, uchawi.

Wewe Ni kielelezo Cha mwanamke wa hovyo.

Hakuna utopolo mwenye maarifa!

Ila mnaipigania Sana brand ya Simba.

Simba ndiyo habari inayouza.

Yanga na Rivers utaandika Nini, vitimu vidogo, mashindano madogo.

Nionyeshe thread yako yyte inayozungumzia Yanga, huna kwasababu haiuzi. Nani anafuatilia Yanga na Hilo kombe la luzas.

Si Kamwe, Zeruzeru, mjinga yule Priva wote habari Ni Simba.

Nionyeshe threads humu mwanasimba anazungumzia utopolo.

Simba Ni next level! Simba Ni km maji, OKSIJENI.

SCHUPIDI, FUULISHI!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…