FourTwoNet
JF-Expert Member
- Aug 4, 2022
- 1,236
- 2,512
ilikuwa katika hali ya kupitiwa na bashasha kem kem...Jamani jamani unanichimba mtani...
Halafu msione kimya tupo busy tunaijenga timu yetu. Subirini makubwa yanakuja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ilikuwa katika hali ya kupitiwa na bashasha kem kem...Jamani jamani unanichimba mtani...
Halafu msione kimya tupo busy tunaijenga timu yetu. Subirini makubwa yanakuja
Kwani GSM yupo Yanga kuwafurahisha tu? Heri ya huyo Mo kawafurahisha 4 seasonsKama kuna mtu aliamini muhindi yuko simba kuwanufaisha basi atakuwa hawajui wahindi. Ponjoro mo mjanja mjanja sana
Usikute hizo bond zinasoma jina lake. Simba wanachukua faida tu.Tatizo hamfuatilii vitu mnasikiliza propaganda za nguruwe pori mo alishasema billion 20 zilinunuliwa treasure bond halafu faida au gawio kwa mwaka ndo linaenda simba kwa hyo billion 20 hajaweka cash kwenye account ila kwa kuwa yule mke wa hersi anadanganya watu basi mnasikiliza chochote anachosema.