OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Waziri Masauni akiwa na kibegi
Jama kwenye hizi Mbwembwe tunaoumia ni Uto. Mpaka ifike ijumaa mtakuwa mmetuacha na vidonda vya tumbo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo propaganda zinawaumiza nyie mashabiki wa Simba, Tokea muambiwe jezi zipo tayari ni zaidi ya mwezi sasa mnapigwa dana dana tu. Yanga wao walipotoa tangazo lao kuwa jezi zipo tayari ikathibitika kuwa zilikuwa tayari kweli. Hawakuchukua muda wakazindua. Hawana habari na jezi tena isipokuwa mashabiki wa Simba ndio hawana jezi. Kama point ni huyo waziri basi utakuwa ni mkosevu wa akili kujua kati ya raisi na waziri ni yupi kiongozi mkubwa. Jezi ya Yanga zimezinduliwa na maraisi wawili ikulu. Huyo aliyekuwa kwenye ndege boss wake ndiye aliyezindua jezi za Yanga. Endeleeni na wimbo wenu wa ndege, Yanga ameshatoka huko kwenye mambo ya jezi, hizo ni shida zenu wenyewe.View attachment 2691977
View attachment 2691978
Waziri Masauni akiwa na kibegi
Jama kwenye hizi Mbwembwe tunaoumia ni Uto. Mpaka ifike ijumaa mtakuwa mmetuacha na vidonda vya tumbo
Maumivu umeyaonyesha kwenye kuandika waraka mreeeeefu. Pole mimi sikukutuma kuwa UtoHizo propaganda zinawaumiza nyie mashabiki wa Simba, Tokea muambiwe jezi zipo tayari ni zaidi ya mwezi sasa mnapigwa dana dana tu. Yanga wao walipotoa tangazo lao kuwa jezi zipo tayari ikathibitika kuwa zilikuwa tayari kweli. Hawakuchukua muda wakazindua. Hawana habari na jezi tena isipokuwa mashabiki wa Simba ndio hawana jezi. Kama point ni huyo waziri basi utakuwa ni mkosevu wa akili kujua kati ya raisi na waziri ni yupi kiongozi mkubwa. Jezi ya Yanga zimezinduliwa na marasi wawili ikulu. Huyo aliyekuwa kwenye ndege boss wake ndiye aliyezindua jezi za Yanga. Endeleeni na wimbo wenu wa ndege, Yanga ameshatoka huko kwenye mambo ya jezi, hizo ni shida zenu wenyewe.
Yanga walizindua kwenye ikulu za waasi[emoji23][emoji23]Yaani Simba wanakera sana. Sasa imekuwa habari ni jersey Africa nzima. Inakera acheni hizo. Yaani utadhani mnataka kuvumbua jua au nyota. Sasa sisi Yanga tumebaki hata hatuelewi suala la kushika kwa sasa.
Umemaliza kila kitu mkuu, kama ajaelewa basi mangungu aingie upya darasani kuwapiga msasa awa viumbe wakeHizo propaganda zinawaumiza nyie mashabiki wa Simba, Tokea muambiwe jezi zipo tayari ni zaidi ya mwezi sasa mnapigwa dana dana tu. Yanga wao walipotoa tangazo lao kuwa jezi zipo tayari ikathibitika kuwa zilikuwa tayari kweli. Hawakuchukua muda wakazindua. Hawana habari na jezi tena isipokuwa mashabiki wa Simba ndio hawana jezi. Kama point ni huyo waziri basi utakuwa ni mkosevu wa akili kujua kati ya raisi na waziri ni yupi kiongozi mkubwa. Jezi ya Yanga zimezinduliwa na marasi wawili ikulu. Huyo aliyekuwa kwenye ndege boss wake ndiye aliyezindua jezi za Yanga. Endeleeni na wimbo wenu wa ndege, Yanga ameshatoka huko kwenye mambo ya jezi, hizo ni shida zenu wenyewe.
Marasi bob marley na ras kiemba.AAH KUMBE MARAIS.Hizo propaganda zinawaumiza nyie mashabiki wa Simba, Tokea muambiwe jezi zipo tayari ni zaidi ya mwezi sasa mnapigwa dana dana tu. Yanga wao walipotoa tangazo lao kuwa jezi zipo tayari ikathibitika kuwa zilikuwa tayari kweli. Hawakuchukua muda wakazindua. Hawana habari na jezi tena isipokuwa mashabiki wa Simba ndio hawana jezi. Kama point ni huyo waziri basi utakuwa ni mkosevu wa akili kujua kati ya raisi na waziri ni yupi kiongozi mkubwa. Jezi ya Yanga zimezinduliwa na marasi wawili ikulu. Huyo aliyekuwa kwenye ndege boss wake ndiye aliyezindua jezi za Yanga. Endeleeni na wimbo wenu wa ndege, Yanga ameshatoka huko kwenye mambo ya jezi, hizo ni shida zenu wenyewe.
Kibegi kimetrend sana
Endeleeni kutembelea choke wiki ya mwananchi imebuma usajili wa usiku umebumaRubbish hicho kibegi ndo nini sasa
Hawaamini macho yao..Endeleeni kutembelea choke wiki ya mwananchi imebuma usajili wa usiku umebuma
Hawa tunao mwaka huu mpaka watapike lile pilau la ikulu dodomaHawaamini macho yao..