Tissaphernes
JF-Expert Member
- Mar 27, 2018
- 2,902
- 3,560
Yanga hawakuzindua jezi, walikurupushwa wakagawa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibegi cha Jezi kimetrend kuliko tamasha la wiki ya wale jamaa zetuView attachment 2691977
View attachment 2691978
Waziri Masauni akiwa na kibegi
Jama kwenye hizi Mbwembwe tunaoumia ni Uto. Mpaka ifike ijumaa mtakuwa mmetuacha na vidonda vya tumbo
😂😂😂Yaani Simba wanakera sana. Sasa imekuwa habari ni jersey Africa nzima. Inakera acheni hizo. Yaani utadhani mnataka kuvumbua jua au nyota. Sasa sisi Yanga tumebaki hata hatuelewi suala la kushika kwa sasa.
Nyie endeleeni na maigizo yenu, sisi tutawaonyesha kwa vitendo uwanjani. By the way, umemuona MVP?View attachment 2691977
View attachment 2691978
Waziri Masauni akiwa na kibegi
Jama kwenye hizi Mbwembwe tunaoumia ni Uto. Mpaka ifike ijumaa mtakuwa mmetuacha na vidonda vya tumbo