TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 9,748
- 26,238
Simba nguvu moja,
Kwa usajiri huu wa msimu wa 2021/22 nachelea kusema kikosi kitapiga pira full package (all flavors inclusive = makolokolo kama yote).
Simba ile ilitupa ladha moja tuu "biriani" dunia ikashangaa na brand ikakua kwa speed ya foojii. Waarabu wakatetemeshwa, wakongoman wakagalagazwa, wasauzi wakajiuliza, waliobaki wakatukimbia.
Imagine sasa tutapiga pira ladha zote. Biriani - sambusa - pilau - wali mweupe - nyama choma - dona - nazi - kachori - urojo - samaki - makange - nyanya - karoti na kingine chochote kinachokuja kichwani kwako utapata. Namaanisha MAKOLOKOLO YOOOOOTEEEE utayapata unafikiri simba hii itashikika?
Mashabiki wa Simba tuendelee kufurahi kwani hii style ya Pira Makolokolo aka Pira full package (all flavors included) itazidi kutupa furaha huku vibwengo FC aka Mama J FC aka uto kama uto FC aka vyura FC aka manyani fc aka nimezisahau wakizidi kuduwaa.
Are we ready?
Kwa usajiri huu wa msimu wa 2021/22 nachelea kusema kikosi kitapiga pira full package (all flavors inclusive = makolokolo kama yote).
Simba ile ilitupa ladha moja tuu "biriani" dunia ikashangaa na brand ikakua kwa speed ya foojii. Waarabu wakatetemeshwa, wakongoman wakagalagazwa, wasauzi wakajiuliza, waliobaki wakatukimbia.
Imagine sasa tutapiga pira ladha zote. Biriani - sambusa - pilau - wali mweupe - nyama choma - dona - nazi - kachori - urojo - samaki - makange - nyanya - karoti na kingine chochote kinachokuja kichwani kwako utapata. Namaanisha MAKOLOKOLO YOOOOOTEEEE utayapata unafikiri simba hii itashikika?
Mashabiki wa Simba tuendelee kufurahi kwani hii style ya Pira Makolokolo aka Pira full package (all flavors included) itazidi kutupa furaha huku vibwengo FC aka Mama J FC aka uto kama uto FC aka vyura FC aka manyani fc aka nimezisahau wakizidi kuduwaa.
Are we ready?