Simba SC siyo timu ya kuiamini

Simba SC siyo timu ya kuiamini

King Jody

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2022
Posts
1,834
Reaction score
3,456
Nilitegemea Simba watapata ushindi tena mnono kulingana na status za timu zote mbili ni kama mbingu na ardhi,

Leo Simba wamenikera sana, mbaya zaidi wamenichania mkeka, nimekwazika mno.

Hata dabi ya October 19 nina wasiwasi inaweza kuahirishwa tofauti na hapo Simba inaweza kuchapwa kwa mara nyingine na Yanga.

Muda utaongea.

Soma Pia: FT: Simba SC 2-2 Costal Union | NBC Premier League | KMC Complex | 4 Octoba, 2024
 
Mkuu wewe itakua sio mtu wa boli,timu zinazocheza ligi moja,tofauti yake haiwezi kua MBINGU na ARDHI, simba,Yanga,Ken Gold,Pamba,zime tofautiana ubora ila zote zipo daraja Moja..Man city na Sheffield daraja moja japo city wakali sana..ila watoto wakiamka vizuri mkubwa anakaa,,,Bayern munich na Simba ndio Mbingu na ardhi..

Beti kistaarabu,
 
Mkuu wewe itakua sio mtu wa boli,timu zinazocheza ligi moja,tofauti yake haiwezi kua MBINGU na ARDHI, simba,Yanga,Ken Gold,Pamba,zime tofautiana ubora ila zote zipo daraja Moja..Man city na Sheffield daraja moja japo city wakali sana..ila watoto wakiamka vizuri mkubwa anakaa,,,Bayern munich na Simba ndio Mbingu na ardhi..

Beti kistaarabu,
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Tulia Mkuu....!

Hizi ni hasira za Kuchaniwa mkeka ama za kishabiki!?
 
Mkuu wewe itakua sio mtu wa boli,timu zinazocheza ligi moja,tofauti yake haiwezi kua MBINGU na ARDHI, simba,Yanga,Ken Gold,Pamba,zime tofautiana ubora ila zote zipo daraja Moja..Man city na Sheffield daraja moja japo city wakali sana..ila watoto wakiamka vizuri mkubwa anakaa,,,Bayern munich na Simba ndio Mbingu na ardhi..

Beti kistaarabu,
Nakuelewa vizuri na mpira naujua vema, tatizo ni mkeka mkuu
 
Ukiona kuna Mutale na Kibu ndani jua siku hiyo Simba majaaliwa yake ya kupata magoli yapo njia panda.
 
WhatsApp Image 2024-09-15 at 22.12.54.jpeg
 
Shida ya mpira wa Tz ni kwamba mntaka kila mechi yanga ishinde na pia mnataka kila mechi simba ishinde mnadharau team zingiine kabisa.Simba ilizidiwa sana kwanza ilitakiwa kufungwa mechi ya jana na Ndio mpira team bora ishinde.
 
Back
Top Bottom