Simba SC tafadhali hili la Yanga SC Kumkataa Mwamuzi wa ASFC Final Ahmed Aragije liangalieni 'Kiujasusi' zaidi

Simba SC tafadhali hili la Yanga SC Kumkataa Mwamuzi wa ASFC Final Ahmed Aragije liangalieni 'Kiujasusi' zaidi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kwa Taarifa ambazo nimezipata na GENTAMYCINE naendelea Kuzithibitisha ni kwamba Kitendo hiki cha Yanga SC Kumkataa Mwamuzi (Referee) Ahmed Aragije kutokea Mkoani Manyara kina Fumbo kubwa na Mtego kwa Simba SC.

Nimedokezwa (za chini chini) kuwa kutokana na Yanga SC (hasa kupitia Mdhamini wao Mkuu GSM) kuutaka Ubingwa huo wa ASFC ili Kuwanyamazisha Mashabiki wao na pia kuonyesha kuwa wanashiriki Michuano ya Kimataifa kwa Uwezo wao na siyo kwa Kubebwa na Simba SC iliyofanya vizuri Kimataifa Klabu na Mdhamini huyo wameshamalizana nae huyu Mwamuzi (Referee)

Taarifa zaidi zinaendelea kwamba Yanga SC walijua na wanajua kuwa Mwamuzi (Referee) huyu hatobadilishwa na TFF hivyo wameshamalizana na Kocha (kwa Kumuhonga) ila wao wanatuzuga kwa Kujifanya hawamtaki ili akiwabeba na wakishinda Mechi hiyo huu Ujanja wao usigundulike (usijulikane)

Nikiwa kama Mdau mkubwa wa Simba SC nitumie nafasi hii Kuwaonya Simba SC juu ya hili, walifuatilie Kiundani na tafadhali wawe makini nalo mno kwani Yanga SC safari hii wameamua hata Kupoteza (Kutumia) Pesa nyingi ili tu Mechi zao zote dhidi ya Simba SC washinde ili Kuwaaminisha Mashabiki wao na Migogoro isiibuke hasa katika Kuelekea Kwao katika Mabadiiko.

Nasisitiza Simba SC tuweni makini sana.
 
Timu kubwa ni Timu Kubwa tu.....Kocha na Wachezaji Wanajua Jambo Moja Tu....Kumtandika Yanga kutimiza Malengo Ya Kukusanya Makombe Yote...!

Haya Yanayoendelea Ya Refa na Barbra na Manara Sio Mambo Yanayowasumbua Kwa Sasa....!

Vyooote Fanyeni Lakini Kombe Nyumbani Kwake Msimbazi..Simba Nguvu Moja.
 
We mwamba Kuna wakati nakuonaga ni mtu mwenye upeo ulio mbali zaid ya maili 2 ukitoa ule upeo wa kawaida wa mwanadamu .

Kuna vitu huwa unaongea Kama utan fulan lakin baadae inakuja kuwa kweli Kama sio kufanania na ukweli .

Huwa nakufuatilia sana ,niseme tu big up kwa kuwa na maono ya mbali sana ,vilaza hawawez kukuelewa haraka sana.
 
We mwamba Kuna wakati nakuonaga ni mtu mwenye upeo ulio mbali zaid ya maili 2 ukitoa ule upeo wa kawaida wa mwanadamu .

Kuna vitu huwa unaongea Kama utan fulan lakin baadae inakuja kuwa kweli Kama sio kufanania na ukweli .

Huwa nakufuatilia sana ,niseme tu big up kwa kuwa na maono ya mbali sana ,vilaza hawawez kukuelewa haraka sana.
Asante. Mungu kanibariki na vingi sana.
 
Kwa Taarifa ambazo nimezipata na GENTAMYCINE naendelea Kuzithibitisha ni kwamba Kitendo hiki cha Yanga SC Kumkataa Mwamuzi (Referee) Ahmed Aragije kutokea Mkoani Manyara kina Fumbo kubwa na Mtego kwa Simba SC.

Nimedokezwa (za chini chini) kuwa kutokana na Yanga SC (hasa kupitia Mdhamini wao Mkuu GSM) kuutaka Ubingwa huo wa ASFC ili Kuwanyamazisha Mashabiki wao na pia kuonyesha kuwa wanashiriki Michuano ya Kimataifa kwa Uwezo wao na siyo kwa Kubebwa na Simba SC iliyofanya vizuri Kimataifa Klabu na Mdhamini huyo wameshamalizana nae huyu Mwamuzi (Referee)

Taarifa zaidi zinaendelea kwamba Yanga SC walijua na wanajua kuwa Mwamuzi (Referee) huyu hatobadilishwa na TFF hivyo wameshamalizana na Kocha (kwa Kumuhonga) ila wao wanatuzuga kwa Kujifanya hawamtaki ili akiwabeba na wakishinda Mechi hiyo huu Ujanja wao usigundulike (usijulikane)

Nikiwa kama Mdau mkubwa wa Simba SC nitumie nafasi hii Kuwaonya Simba SC juu ya hili, walifuatilie Kiundani na tafadhali wawe makini nalo mno kwani Yanga SC safari hii wameamua hata Kupoteza (Kutumia) Pesa nyingi ili tu Mechi zao zote dhidi ya Simba SC washinde ili Kuwaaminisha Mashabiki wao na Migogoro isiibuke hasa katika Kuelekea Kwao katika Mabadiiko.

Nasisitiza Simba SC tuweni makini sana.
Hebu andika kijasusi kuhusu manara kutumuwa na yanga kuwahujumu simba

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kwa Taarifa ambazo nimezipata na GENTAMYCINE naendelea Kuzithibitisha ni kwamba Kitendo hiki cha Yanga SC Kumkataa Mwamuzi (Referee) Ahmed Aragije kutokea Mkoani Manyara kina Fumbo kubwa na Mtego kwa Simba SC.

Nimedokezwa (za chini chini) kuwa kutokana na Yanga SC (hasa kupitia Mdhamini wao Mkuu GSM) kuutaka Ubingwa huo wa ASFC ili Kuwanyamazisha Mashabiki wao na pia kuonyesha kuwa wanashiriki Michuano ya Kimataifa kwa Uwezo wao na siyo kwa Kubebwa na Simba SC iliyofanya vizuri Kimataifa Klabu na Mdhamini huyo wameshamalizana nae huyu Mwamuzi (Referee)

Taarifa zaidi zinaendelea kwamba Yanga SC walijua na wanajua kuwa Mwamuzi (Referee) huyu hatobadilishwa na TFF hivyo wameshamalizana na Kocha (kwa Kumuhonga) ila wao wanatuzuga kwa Kujifanya hawamtaki ili akiwabeba na wakishinda Mechi hiyo huu Ujanja wao usigundulike (usijulikane)

Nikiwa kama Mdau mkubwa wa Simba SC nitumie nafasi hii Kuwaonya Simba SC juu ya hili, walifuatilie Kiundani na tafadhali wawe makini nalo mno kwani Yanga SC safari hii wameamua hata Kupoteza (Kutumia) Pesa nyingi ili tu Mechi zao zote dhidi ya Simba SC washinde ili Kuwaaminisha Mashabiki wao na Migogoro isiibuke hasa katika Kuelekea Kwao katika Mabadiiko.

Nasisitiza Simba SC tuweni makini sana.
Mkuu hakika hilo uneliona kwa jicho la Tatu, watu wasio elewa wanaongea Utopolo tu, big up sana Mkuu.
 
Hii mechi mbona imeisha muda mrefu sana wakuu
Chanzo:Watu wetu(tuna watu)
 
mm ni shabiki wa simba lkn kwa jinsi nilivyo sikia malumbano kati ya manara na babra naomba Yanga watukung'ute 4 za nguvu.
 
Hivi pale kati uwanjani wachezaji 11 wa Simba wakiwa wanacheza halafu nje ya uwanja kuna viongozi wana parurana ina wahusu?
Hivi wachezaji wakilichezesha pilau la ukweli pasi 3 au 5 bao refa anazuiaje hilo goli.

Nina maanisha siku hiyo wachezaji wacheze kiasi ya kwamba huyo refa hata kama kala njama ashindwe kufanya lolote. Labda kama hajipendi.
 
Endelea kusikia sikia si ndio mlivyozoea mipira ya kibongo.
 
Back
Top Bottom