Simba SC, TFF wakitoa maamuzi kwa kupendelea Yanga, option iwe moja tu kuhama ligi na kupeleka timu kwenye ligi ya South Africa au Nigeria

Simba SC, TFF wakitoa maamuzi kwa kupendelea Yanga, option iwe moja tu kuhama ligi na kupeleka timu kwenye ligi ya South Africa au Nigeria

Boston12

Member
Joined
Feb 23, 2025
Posts
35
Reaction score
78
Kwa sababu bodi ya ligi na TFF wameshindwa kuendesha ligi kwa kuipendelea Yanga. Maumuzi watakayofanya juu ya sakata hili ni ya kukurupuka ili kumfurahisha baadhi ya vigogo huko serikalini.

Hivyo Simba SC isitishwe na uamuzi wowote hasi kuja kwao ila uamuzi wa club ueleweke mapema BILA Yanga kuadhibiwa kwa kuharibu ratiba ya mazoezi ya club ya Simba, Simba SC haipo tayari kutekeleza adhabu yoyote.

Wakilazimisha Simba SC anza kutafuta nchi inayoweza kukupokea ili ushiriki ligi ya huko kwao.

Kwa ukubwa wa club ya Simba ligi ya South Africa au Nigeria au Angola inaweza kuwa ni kipimo tosha kushiriki ligi hiyo.

Mashabiki wa Simba SC tutawafata huko huko ili mtupunguzie figisu za kisiasa kwenye mpira mara "goli la mama" mara kulazimishwa kushiriki kombe la mapinduzi huku kombe la uhuru wa Tanganyika halipo. Mara mapicha picha ya rais kwenye viwanja vya michezo.

Hii kauli ya UBAYA UBWELA LAZIMA ITEKELEZEKE IPASAVYO KUANZIA SASA TUHAME LIGI TU.
 
Kwa sababu bodi ya ligi na TFF wameshindwa kuendesha ligi kwa kuipendelea Yanga. Maumuzi watakayofanya juu ya sakata hili ni ya kukurupuka ili kumfurahisha baadhi ya vigogo huko serikalini.

Hivyo Simba SC isitishwe na uamuzi wowote hasi kuja kwao ila uamuzi wa club ueleweke mapema BILA Yanga kuadhibiwa kwa kuharibu ratiba ya mazoezi ya club ya Simba, Simba SC haipo tayari kutekeleza adhabu yoyote.

Wakilazimisha Simba SC anza kutafuta nchi inayoweza kukupokea ili ushiriki ligi ya huko kwao.

Kwa ukubwa wa club ya Simba ligi ya South Africa au Nigeria au Angola inaweza kuwa ni kipimo tosha kushiriki ligi hiyo.

Mashabiki wa Simba SC tutawafata huko huko ili mtupunguzie figisu za kisiasa kwenye mpira mara "goli la mama" mara kulazimishwa kushiriki kombe la mapinduzi huku kombe la uhuru wa Tanganyika halipo. Mara mapicha picha ya rais kwenye viwanja vya michezo.

Hii kauli ya UBAYA UBWELA LAZIMA ITEKELEZEKE IPASAVYO KUANZIA SASA TUHAME LIGI TU.
Kwa hiyo mkihamia huko mtaendelea kudeka na pia kulalamika hovyo, kununua waamuzi ili wawape penati zna nyekundu za mchongo kwa wapinzani, kama mnavyofanya huku!!
 
Kwa sababu bodi ya ligi na TFF wameshindwa kuendesha ligi kwa kuipendelea Yanga. Maumuzi watakayofanya juu ya sakata hili ni ya kukurupuka ili kumfurahisha baadhi ya vigogo huko serikalini.

Hivyo Simba SC isitishwe na uamuzi wowote hasi kuja kwao ila uamuzi wa club ueleweke mapema BILA Yanga kuadhibiwa kwa kuharibu ratiba ya mazoezi ya club ya Simba, Simba SC haipo tayari kutekeleza adhabu yoyote.

Wakilazimisha Simba SC anza kutafuta nchi inayoweza kukupokea ili ushiriki ligi ya huko kwao.

Kwa ukubwa wa club ya Simba ligi ya South Africa au Nigeria au Angola inaweza kuwa ni kipimo tosha kushiriki ligi hiyo.

Mashabiki wa Simba SC tutawafata huko huko ili mtupunguzie figisu za kisiasa kwenye mpira mara "goli la mama" mara kulazimishwa kushiriki kombe la mapinduzi huku kombe la uhuru wa Tanganyika halipo. Mara mapicha picha ya rais kwenye viwanja vya michezo.

Hii kauli ya UBAYA UBWELA LAZIMA ITEKELEZEKE IPASAVYO KUANZIA SASA TUHAME LIGI TU.
Nendeni ligi yoyote, nobody cares. Ligi zote ulizozitaja hamuwezi ku-kurvive, hawa mashabiki njaa ambao ndiyo mtaji wenu hata Malawi hawajawahi hata kumiliki passports ndiyo waende kushuhudia mechi zenu Nigeria au South Africa au Angola. Bora mwende ligi ya Burundi kwani huko obviously mashabiki mnao, hao ndiyo wanafuatilia sana mambo ya Kibongo.
Mgomee mechi then muanze kulialia eti ipewe adhabu timu ambayo haikugoma?
 
Sawa, Yanga ataadhibiwa kwa kuzuia 5imba isifanye mazoezi itatozwa faini milioni 1, 5imba nayo itaadhibiwa kwa kushindwa kufika katika mchezo husika itakatwa alama 15 na Yanga itapewa alama 3 na magoli matatu. Kila mmoja apate anachostahili
 
Sawa, Yanga ataadhibiwa kwa kuzuia 5imba isifanye mazoezi itatozwa faini milioni 1, 5imba nayo itaadhibiwa kwa kushindwa kufika katika mchezo husika itakatwa alama 15 na Yanga itapewa alama 3 na magoli matatu. Kila mmoja apate anachostahili
Kwa hiyo yanga huwa mnavunja kanuni kwa kukusudia mkijua faini ni milioni moja mtalipa tu pesa ndogo hiyo!!!

Kweli huko utopoloni wenye akili ni wawili tu.
 
Kwa sababu bodi ya ligi na TFF wameshindwa kuendesha ligi kwa kuipendelea Yanga. Maumuzi watakayofanya juu ya sakata hili ni ya kukurupuka ili kumfurahisha baadhi ya vigogo huko serikalini.

Hivyo Simba SC isitishwe na uamuzi wowote hasi kuja kwao ila uamuzi wa club ueleweke mapema BILA Yanga kuadhibiwa kwa kuharibu ratiba ya mazoezi ya club ya Simba, Simba SC haipo tayari kutekeleza adhabu yoyote.

Wakilazimisha Simba SC anza kutafuta nchi inayoweza kukupokea ili ushiriki ligi ya huko kwao.

Kwa ukubwa wa club ya Simba ligi ya South Africa au Nigeria au Angola inaweza kuwa ni kipimo tosha kushiriki ligi hiyo.

Mashabiki wa Simba SC tutawafata huko huko ili mtupunguzie figisu za kisiasa kwenye mpira mara "goli la mama" mara kulazimishwa kushiriki kombe la mapinduzi huku kombe la uhuru wa Tanganyika halipo. Mara mapicha picha ya rais kwenye viwanja vya michezo.

Hii kauli ya UBAYA UBWELA LAZIMA ITEKELEZEKE IPASAVYO KUANZIA SASA TUHAME LIGI TU.
Hamna pesa wala uwezo wa kwenda kucheza huko Nigeria wala south Afrika.

Umeandika haya huku umelala sebuleni kwa shemeji yako. Amka hapo Wajomba zako wanataka kujiandaa kwenda Kanisani.

Nyie hadhi yenu ni Kombe la Bata huku kawajense lililoanzishwa na Mbunge Anna Lupembe.

Karibuni sana Inyonga mlele mcheze kombe la Kuku nyie weKUNDUwa Msimbazi.
 
Kwa sababu bodi ya ligi na TFF wameshindwa kuendesha ligi kwa kuipendelea Yanga. Maumuzi watakayofanya juu ya sakata hili ni ya kukurupuka ili kumfurahisha baadhi ya vigogo huko serikalini.

Hivyo Simba SC isitishwe na uamuzi wowote hasi kuja kwao ila uamuzi wa club ueleweke mapema BILA Yanga kuadhibiwa kwa kuharibu ratiba ya mazoezi ya club ya Simba, Simba SC haipo tayari kutekeleza adhabu yoyote.

Wakilazimisha Simba SC anza kutafuta nchi inayoweza kukupokea ili ushiriki ligi ya huko kwao.

Kwa ukubwa wa club ya Simba ligi ya South Africa au Nigeria au Angola inaweza kuwa ni kipimo tosha kushiriki ligi hiyo.

Mashabiki wa Simba SC tutawafata huko huko ili mtupunguzie figisu za kisiasa kwenye mpira mara "goli la mama" mara kulazimishwa kushiriki kombe la mapinduzi huku kombe la uhuru wa Tanganyika halipo. Mara mapicha picha ya rais kwenye viwanja vya michezo.

Hii kauli ya UBAYA UBWELA LAZIMA ITEKELEZEKE IPASAVYO KUANZIA SASA TUHAME LIGI TU.
Nendeni Misri, Algeria ,Tunisia au Morocco maana huko ndio kuna marefa wengi wa "makosa ya kibinaadamu", kwengine hamkuwezi.
 
Sawa, Yanga ataadhibiwa kwa kuzuia 5imba isifanye mazoezi itatozwa faini milioni 1, 5imba nayo itaadhibiwa kwa kushindwa kufika katika mchezo husika itakatwa alama 15 na Yanga itapewa alama 3 na magoli matatu. Kila mmoja apate anachostahili
Simba awe-inspiring kwenda uwanjani wakati bodi ya ligi imeahirisha mechi.

Hata marefa arajiga na wenzake hakuja uwanjani sasa simba aje uwanjani kufanya nini.
 
Kwa hiyo yanga huwa mnavunja kanuni kwa kukusudia mkijua faini ni milioni moja mtalipa tu pesa ndogo hiyo!!!

Kweli huko utopoloni wenye akili ni wawili tu.
Kwani kanuni zinasemaje? Kuna kanuni inasema yinu ikizuiliwa kufanya mazoezi mechi iahirishwe?
 
Simba awe-inspiring kwenda uwanjani wakati bodi ya ligi imeahirisha mechi.

Hata marefa arajiga na wenzake hakuja uwanjani sasa simba aje uwanjani kufanya nini.
Basi hiyo bodi ya Ligi itatoa maelezo ilitumia kanuni gani kuahirisha mchezo husika.
 
Sawa, Yanga ataadhibiwa kwa kuzuia 5imba isifanye mazoezi itatozwa faini milioni 1, 5imba nayo itaadhibiwa kwa kushindwa kufika katika mchezo husika itakatwa alama 15 na Yanga itapewa alama 3 na magoli matatu. Kila mmoja apate anachostahili
Ili kupata kichekesho kama ichi tunabonyeza namba ngapi mkuu? 😆😆
 
Back
Top Bottom