Simba SC tuache kulialia wachezaji wetu Kuchezewa rafu, na wao hawajazuiwa kulipizia ili heshima ipatikane

Simba SC tuache kulialia wachezaji wetu Kuchezewa rafu, na wao hawajazuiwa kulipizia ili heshima ipatikane

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
GENTAMYCINE najuta ni kwanini wakati nacheza Mpira kwa Ngazi za Shule O level na A level achilia mbali Ligi Daraja la Tatu Mkoa pamoja na Ndondo hasa nafasi yangu ya Beki wa Namba Mbili, Beki wa Kati Namba Nne na Kiungo Mkabaji Namba Sita sikuwa najjrekodi ili iwe Somo kwa Wachezaji lonyo lonyo wa Simba SC ambao wanalia Kuchezewa Rafu mbaya na Timu Pinzani ili Wajifunze na Waige.

Nikiwa kama Mtaalam wa Kucheza Rafu za Akili ambazo kamwe Mwamuzi hatoona na Mlengwa ni lazima ataumia na kutoka Nje kabisa bado sijaona Rafu ya maana na mbaya ambayo Wachezaji wa Simba SC wanachezewa na Kudekadeka / Kulialia kila mara.

Tena niwaambie tu Wachezaji Wadekaji, Waoga na wa Kulialia wa Simba SC kuwa Rafu mbaya zilikuwa ni Miaka yetu ya 80, 90 na zikaja kumaliziwa na akina Pawassa na Emmanuel Gabriel 'Batgol' miaka ya mwanzoni ya 2000 lakini bado kilikuwa Kinapigwa vile vile.

Kama vipi Uongozi wa Simba SC niandalieni GENTAMYCINE Session Maalum ya Kuwafundisha Rafu Mbaya na Kali Wachezaji wetu ili wawe Wanazitumia kwa Wapinzani Wao pale tu Wakianzwa na mtanikumbuka na Watanishukuru.

Na Rafu nitakazowafundisha ni Saba tu

1. Nnge / Chai
2. Chomeka
3. Finya
4. Ndosi
5. Tandika Reli
6. Tuheshimiane
7. Bruce Lee

Simba SC Waambieni Wachezaji wetu Wagangamale na Wao Walipize hizo Rafu wanazochezewa kama hawawezi na Wanaogopa basi Wanyamaze tu kwani Wanatuboa kwa huku Kulialia Kwao kila Kukicha.

Yaani Mimi unichezee Rafu nikuache?
 
GENTAMYCINE najuta ni kwanini wakati nacheza Mpira kwa Ngazi za Shule O level na A level achilia mbali Ligi Daraja la Tatu Mkoa pamoja na Ndondo hasa nafasi yangu ya Beki wa Namba Mbili, Beki wa Kati Namba Nne na Kiungo Mkabaji Namba Sita sikuwa najjrekodi ili iwe Somo kwa Wachezaji lonyo lonyo wa Simba SC ambao wanalia Kuchezewa Rafu mbaya na Timu Pinzani ili Wajifunze na Waige.

Nikiwa kama Mtaalam wa Kucheza Rafu za Akili ambazo kamwe Mwamuzi hatoona na Mlengwa ni lazima ataumia na kutoka Nje kabisa bado sijaona Rafu ya maana na mbaya ambayo Wachezaji wa Simba SC wanachezewa na Kudekadeka / Kulialia kila mara.

Tena niwaambie tu Wachezaji Wadekaji, Waoga na wa Kulialia wa Simba SC kuwa Rafu mbaya zilikuwa ni Miaka yetu ya 80, 90 na zikaja kumaliziwa na akina Pawassa na Emmanuel Gabriel 'Batgol' miaka ya mwanzoni ya 2000 lakini bado kilikuwa Kinapigwa vile vile.

Kama vipi Uongozi wa Simba SC niandalieni GENTAMYCINE Session Maalum ya Kuwafundisha Rafu Mbaya na Kali Wachezaji wetu ili wawe Wanazitumia kwa Wapinzani Wao pale tu Wakianzwa na mtanikumbuka na Watanishukuru.

Na Rafu nitakazowafundisha ni Saba tu

1. Nnge / Chai
2. Chomeka
3. Finya
4. Ndosi
5. Tandika Reli
6. Tuheshimiane
7. Bruce Lee

Simba SC Waambieni Wachezaji wetu Wagangamale na Wao Walipize hizo Rafu wanazochezewa kama hawawezi na Wanaogopa basi Wanyamaze tu kwani Wanatuboa kwa huku Kulialia Kwao kila Kukicha.

Yaani Mimi unichezee Rafu nikuache?
Umekuwa Mandonga kwa hayo majina ya rafu?
 
GENTAMYCINE najuta ni kwanini wakati nacheza Mpira kwa Ngazi za Shule O level na A level achilia mbali Ligi Daraja la Tatu Mkoa pamoja na Ndondo hasa nafasi yangu ya Beki wa Namba Mbili, Beki wa Kati Namba Nne na Kiungo Mkabaji Namba Sita sikuwa najjrekodi ili iwe Somo kwa Wachezaji lonyo lonyo wa Simba SC ambao wanalia Kuchezewa Rafu mbaya na Timu Pinzani ili Wajifunze na Waige.

Nikiwa kama Mtaalam wa Kucheza Rafu za Akili ambazo kamwe Mwamuzi hatoona na Mlengwa ni lazima ataumia na kutoka Nje kabisa bado sijaona Rafu ya maana na mbaya ambayo Wachezaji wa Simba SC wanachezewa na Kudekadeka / Kulialia kila mara.

Tena niwaambie tu Wachezaji Wadekaji, Waoga na wa Kulialia wa Simba SC kuwa Rafu mbaya zilikuwa ni Miaka yetu ya 80, 90 na zikaja kumaliziwa na akina Pawassa na Emmanuel Gabriel 'Batgol' miaka ya mwanzoni ya 2000 lakini bado kilikuwa Kinapigwa vile vile.

Kama vipi Uongozi wa Simba SC niandalieni GENTAMYCINE Session Maalum ya Kuwafundisha Rafu Mbaya na Kali Wachezaji wetu ili wawe Wanazitumia kwa Wapinzani Wao pale tu Wakianzwa na mtanikumbuka na Watanishukuru.

Na Rafu nitakazowafundisha ni Saba tu

1. Nnge / Chai
2. Chomeka
3. Finya
4. Ndosi
5. Tandika Reli
6. Tuheshimiane
7. Bruce Lee

Simba SC Waambieni Wachezaji wetu Wagangamale na Wao Walipize hizo Rafu wanazochezewa kama hawawezi na Wanaogopa basi Wanyamaze tu kwani Wanatuboa kwa huku Kulialia Kwao kila Kukicha.

Yaani Mimi unichezee Rafu nikuache?
Wewe huna Akili
 
Unapuyanga sasa...kila siku kuisema Simba
 
GENTAMYCINE najuta ni kwanini wakati nacheza Mpira kwa Ngazi za Shule O level na A level achilia mbali Ligi Daraja la Tatu Mkoa pamoja na Ndondo hasa nafasi yangu ya Beki wa Namba Mbili, Beki wa Kati Namba Nne na Kiungo Mkabaji Namba Sita sikuwa najjrekodi ili iwe Somo kwa Wachezaji lonyo lonyo wa Simba SC ambao wanalia Kuchezewa Rafu mbaya na Timu Pinzani ili Wajifunze na Waige.

Nikiwa kama Mtaalam wa Kucheza Rafu za Akili ambazo kamwe Mwamuzi hatoona na Mlengwa ni lazima ataumia na kutoka Nje kabisa bado sijaona Rafu ya maana na mbaya ambayo Wachezaji wa Simba SC wanachezewa na Kudekadeka / Kulialia kila mara.

Tena niwaambie tu Wachezaji Wadekaji, Waoga na wa Kulialia wa Simba SC kuwa Rafu mbaya zilikuwa ni Miaka yetu ya 80, 90 na zikaja kumaliziwa na akina Pawassa na Emmanuel Gabriel 'Batgol' miaka ya mwanzoni ya 2000 lakini bado kilikuwa Kinapigwa vile vile.

Kama vipi Uongozi wa Simba SC niandalieni GENTAMYCINE Session Maalum ya Kuwafundisha Rafu Mbaya na Kali Wachezaji wetu ili wawe Wanazitumia kwa Wapinzani Wao pale tu Wakianzwa na mtanikumbuka na Watanishukuru.

Na Rafu nitakazowafundisha ni Saba tu

1. Nnge / Chai
2. Chomeka
3. Finya
4. Ndosi
5. Tandika Reli
6. Tuheshimiane
7. Bruce Lee

Simba SC Waambieni Wachezaji wetu Wagangamale na Wao Walipize hizo Rafu wanazochezewa kama hawawezi na Wanaogopa basi Wanyamaze tu kwani Wanatuboa kwa huku Kulialia Kwao kila Kukicha.

Yaani Mimi unichezee Rafu nikuache?

Simba inachezewa Rafu kwasababu Utopolo wamehonga refa ili iwe hivyo…
Imagine Mtu alie Neutral akiangalia ile Mechi ya Simba na Kagera Sugar…Jinsi Phiri Alivyochezewa ile rafu…
Yeye alikuwa anapiga Tena Shuti Kali beki akamchomekea kwenye Mguu..
Yaani ile Ilikuwa RED CARD bia Chenga…
ila Akatoa Njano!Tena Kwa kujiuliza baada ya wachezaji wa Simba Kuona kama wanalalamika ndio akampa Mchezaji wa Kagera Njano.
Haiingii Akilini Faulo ile…
unaona Kabisa hapo Refa Kapewa Chake kuhakikisha Mnyama haamki.
tena Hata Goli la Simba ni Juhudi zao Simba Kubwa sanaaa tuu!
Siku Simba wakicheza Rafu nakuapia watatolewa wooote na Red card.[emoji23][emoji30]
 
Simba inachezewa Rafu kwasababu Utopolo wamehonga refa ili iwe hivyo…
Imagine Mtu alie Neutral akiangalia ile Mechi ya Simba na Kagera Sugar…Jinsi Phiri Alivyochezewa ile rafu…
Yeye alikuwa anapiga Tena Shuti Kali beki akamchomekea kwenye Mguu..
Yaani ile Ilikuwa RED CARD bia Chenga…
ila Akatoa Njano!Tena Kwa kujiuliza baada ya wachezaji wa Simba Kuona kama wanalalamika ndio akampa Mchezaji wa Kagera Njano.
Haiingii Akilini Faulo ile…
unaona Kabisa hapo Refa Kapewa Chake kuhakikisha Mnyama haamki.
tena Hata Goli la Simba ni Juhudi zao Simba Kubwa sanaaa tuu!
Siku Simba wakicheza Rafu nakuapia watatolewa wooote na Red card.[emoji23][emoji30]
Wachezaji wa Simba SC na Wao wamezuiwa Kucheza Rafu au hata tu Kulipiza / Kuzilipizia hizo Rafu?

Waambieni waendelee tu Kulegea na kuwa Nyoro Nyoro ipo Siku watafanyiwa Rafu ile ya Nyosso Style aliyowahi kumfanyia John Boko ndipo Akili zitawakaa sawa.
 
Kwenye mpira ukichezewa rafu ukarudisha wewe ndo unaonekana huna akili.
Kwahiyo ndiyo wakubali tu Kuumizwa hovyo tena kwa Makusudi na Mabeki wa Timu Pinzani wanaotumika na Yanga SC ili Kuipunguza Kasi Simba SC yetu?
 
Kucheza Rafu haifai , unajua ukkngundulika unacheza rafu kwa kusudi Adhabu yake Ni kufungiwa na hautocheza Mpira

Football is ni mchezo wa kiungwana .
 
Simba inachezewa Rafu kwasababu Utopolo wamehonga refa ili iwe hivyo…
Imagine Mtu alie Neutral akiangalia ile Mechi ya Simba na Kagera Sugar…Jinsi Phiri Alivyochezewa ile rafu…
Yeye alikuwa anapiga Tena Shuti Kali beki akamchomekea kwenye Mguu..
Yaani ile Ilikuwa RED CARD bia Chenga…
ila Akatoa Njano!Tena Kwa kujiuliza baada ya wachezaji wa Simba Kuona kama wanalalamika ndio akampa Mchezaji wa Kagera Njano.
Haiingii Akilini Faulo ile…
unaona Kabisa hapo Refa Kapewa Chake kuhakikisha Mnyama haamki.
tena Hata Goli la Simba ni Juhudi zao Simba Kubwa sanaaa tuu!
Siku Simba wakicheza Rafu nakuapia watatolewa wooote na Red card.[emoji23][emoji30]
Labda umeanza kumwangalia Abdul Aziz makame Bui Leo lakini kama kumbukumbu zako ziko sawa utakumbuka misimu miwili nyuma alipokua Namungo alimuumiza pia kapombe .

Kila timu inamkaba na kumchezea rafu mchezaji anayeonekana ni hatari kwao na ni kitu cha kawaida tu.

Kama ushawahi flatilia ligi ya uingereza kipindi Edem hazard yupo Chelsea alikua ni mchezaji anayechezewa rafu kuliko mchezaji yoyote lakini sikuwahi sikua Chelsea wakilalamikia timu pinzani ndo zinawatuma kufanya hivo.
 
Kwahiyo ndiyo wakubali tu Kuumizwa hovyo tena kwa Makusudi na Mabeki wa Timu Pinzani wanaotumika na Yanga SC ili Kuipunguza Kasi Simba SC yetu?

Tunayajua hayo mkuu sema hakuna namna ya kufanya coz marefa msimu huu wamepania kuwaua simba,ila ngoja tuendelee kuona itafika wapi hii movie.
 
Back
Top Bottom