Simba SC tuiandae Timu Kisayansi kucheza na Al Ahly na tusijiamini kwa Kutegemea tu Waganga wa Tanga, Morogoro, Kigoma na Zanzibar

Simba SC tuiandae Timu Kisayansi kucheza na Al Ahly na tusijiamini kwa Kutegemea tu Waganga wa Tanga, Morogoro, Kigoma na Zanzibar

Hao waganga huwa nawaona kama wachawi fulani hivi, ni wapuuzi, wanaendeleza ushirikina kwenye mpira wa kisayansi. Kwanza uwepo wao ni nuksi kwa timu
 
Tangia lini au ni wapi onyesha GENTAMYCINE Mimi niliwahi kusema Role Model wangu ni huyu Mumeo uliyemtaja hapa?

Simon Msuva anaweza kweli kuwa Role Model wa Lionel Messi GENTAMYCINE?

Halafu nikiwa Nakudharau unakasirika wakati kumbe huwa nakuwa sahihi 100%
We nidharau tu,ahaha
 
Back
Top Bottom