GENTAMYCINE JF-Expert Member Joined Jul 13, 2013 Posts 60,660 Reaction score 121,325 Sep 4, 2023 Thread starter #21 Kichuguu said: Simba ina waganga? Click to expand... Ina wale Wanaokubahashia tu pekee.
LOTH HEMA JF-Expert Member Joined Dec 6, 2015 Posts 18,611 Reaction score 27,615 Sep 4, 2023 #22 Hao waganga huwa nawaona kama wachawi fulani hivi, ni wapuuzi, wanaendeleza ushirikina kwenye mpira wa kisayansi. Kwanza uwepo wao ni nuksi kwa timu
Hao waganga huwa nawaona kama wachawi fulani hivi, ni wapuuzi, wanaendeleza ushirikina kwenye mpira wa kisayansi. Kwanza uwepo wao ni nuksi kwa timu
Kilimbatzz JF-Expert Member Joined Feb 11, 2023 Posts 9,134 Reaction score 14,593 Sep 4, 2023 #23 GENTAMYCINE said: Tangia lini au ni wapi onyesha GENTAMYCINE Mimi niliwahi kusema Role Model wangu ni huyu Mumeo uliyemtaja hapa? Simon Msuva anaweza kweli kuwa Role Model wa Lionel Messi GENTAMYCINE? Halafu nikiwa Nakudharau unakasirika wakati kumbe huwa nakuwa sahihi 100% Click to expand... We nidharau tu,ahaha
GENTAMYCINE said: Tangia lini au ni wapi onyesha GENTAMYCINE Mimi niliwahi kusema Role Model wangu ni huyu Mumeo uliyemtaja hapa? Simon Msuva anaweza kweli kuwa Role Model wa Lionel Messi GENTAMYCINE? Halafu nikiwa Nakudharau unakasirika wakati kumbe huwa nakuwa sahihi 100% Click to expand... We nidharau tu,ahaha
Dr Matola PhD JF-Expert Member Joined Oct 18, 2010 Posts 60,050 Reaction score 104,466 Sep 7, 2023 #24 Matokeo tayari yanajurikana, nusu fainali ni Mamelodi Sundowns na Al Ahaly.