Action and Reaction
JF-Expert Member
- Oct 16, 2021
- 1,438
- 1,496
Hii habari nimeiona Jana nikaipuuza. Lakini sasa naanza kuamini Ahmed Ally ni kimeo. Jambo kama hili hata kama lipo unaliacha jikoni siyo la kutoa nje maana linaharibu image ya timu. Hivi wachezaji wanajisikiaje wakisikia wanaachwa kwenye usajili mara tu wanapoumia?Thadeo Lwanga ilikuwa tusitishe mkataba wake mwezi huu kutokana na jeraha lake kuchelewa kupona na tulikuwa tayari kutafuta mbadala wake ila daktari ametuhakikishia atakuwa amepona kufikia mwisho wa mwezi huu (January)” amesema Ahmed Ally.
Yaani wenzenu wanapeleka wachezaji wao kutibiwa nchi za nje kwa gharam kubwa.... nyie mnawatema, kweli timu yangu haiwajali wachezaji wake Wanawashinda Azam na Yanga aisee!
Kwahiyo huyo Kanote ndo mbadala wa Lyanga, haingii hata nusu, kazi kupepesuka miguu tyu! Nasema Kanote tumepigwa....... yaani anashindwa na Mkude daaa!
Manara alikuwa sahihi kusema "timu inaacha wachezaji wake wazuri kisa majeraha"
Yaccouba kibwana na ninja wameuzwa muda mrefu TunisiaKwani YACOUBA SOGNE bado yupo Yanga?
[emoji38][emoji38][emoji38]Yaccouba kibwana na ninja wameuzwa muda mrefu Tunisia
Club ya Yanga ilimpeleka Tunisia kwaajili ya matibabuKwani YACOUBA SOGNE bado yupo Yanga?
Na kwasasa amesharejea ndani ya kikosi na anafanya mazoezi mepesiKwani YACOUBA SOGNE bado yupo Yanga?
Thadeo Lwanga ilikuwa tusitishe mkataba wake mwezi huu kutokana na jeraha lake kuchelewa kupona na tulikuwa tayari kutafuta mbadala wake ila daktari ametuhakikishia atakuwa amepona kufikia mwisho wa mwezi huu (January)” amesema Ahmed Ally.
Yaani wenzenu wanapeleka wachezaji wao kutibiwa nchi za nje kwa gharam kubwa.... nyie mnawatema, kweli timu yangu haiwajali wachezaji wake Wanawashinda Azam na Yanga aisee!
Kwahiyo huyo Kanote ndo mbadala wa Lyanga, haingii hata nusu, kazi kupepesuka miguu tyu! Nasema Kanote tumepigwa....... yaani anashindwa na Mkude daaa!
Manara alikuwa sahihi kusema "timu inaacha wachezaji wake wazuri kisa majeraha"
Niwe muwazi sina imani na Simba yangu hivi karibuni ikiwezekana hata Matola atafutiwe nafasi nyingine kama wanaogopa kumfukuza, Mseng* ni kimeo yule
Matola ana kazi ya kumutuliza PabloNiwe muwazi sina imani na Simba yangu hivi karibuni ikiwezekana hata Matola atafutiwe nafasi nyingine kama wanaogopa kumfukuza, Mseng* ni kimeo yule
Sasa mkuu unataka kusema Mkude ni mchawi?Nakubaliana na hilo, wenzetu wanatumia uchawi kwenye mafanikio na utajiri, ila sisi tunatumia kuumiza wengine, kuna washenzi flan pale simba ni wachawi wakubwa wa kuwaloga wachezaji wenzao, hua nashangaa sana, ndio waliwaloga fraga mchezaji mzuri kabisa, wakamloga kotei, na sasa thadeo na wote ni wachezaji wazuri