Simba SC: Tulikuwa na nia kumwacha Thadeo Lwanga sababu ya majeraha. This is foolish!

Simba SC: Tulikuwa na nia kumwacha Thadeo Lwanga sababu ya majeraha. This is foolish!

Thadeo Lwanga ilikuwa tusitishe mkataba wake mwezi huu kutokana na jeraha lake kuchelewa kupona na tulikuwa tayari kutafuta mbadala wake ila daktari ametuhakikishia atakuwa amepona kufikia mwisho wa mwezi huu (January)” amesema Ahmed Ally.
Mkuu, kwani na wewe ni kiongozi wa Simba? Maana unatumia nafsi ya kwanza uwingi, yaani 'tulikuwa', 'tusitishe', as if na wewe upo kwenye bodi ya Wakurugenzi. Kama upo kwenye uongozi, hongera na tunashukuru kwa kusitisha mlichokuwa mmeamua mwanzo, ila kama wewe ni shabiki tu, usitumie neno 'tulikuwa', maana haupo kwenye uongozi na uongozi wa simba unaotambulika haukuwahi kutamka hili
 
Mkuu, kwani na wewe ni kiongozi wa Simba? Maana unatumia nafsi ya kwanza uwingi, yaani 'tulikuwa', 'tusitishe', as if na wewe upo kwenye bodi ya Wakurugenzi. Kama upo kwenye uongozi, hongera na tunashukuru kwa kusitisha mlichokuwa mmeamua mwanzo, ila kama wewe ni shabiki tu, usitumie neno 'tulikuwa', maana haupo kwenye uongozi na uongozi wa simba unaotambulika haukuwahi kutamka hili
Mkuu jambo dogo kama hilo nalo la kuhoji? Yeye alichofanya ni kumnukuu Ahmed Ally, hivyo aliyeongea hayo maneno ni Ahmed Ally
 
Msemaji wetu anapaswa kupimwa akili, badala ya kuilinda brand yetu yeye anaibomoa, hawa wapumbavu wachache ndo wanaifanya team yetu ipitie wakati mgumu.
 
Ni ujinga kutema mchezaji mzuri kisa majeruhi.
Mchezaji hata akiwa mzuri vipi, kama ni majeruhi wa muda mrefu, atachezaje kuonyesha uzuri wake? Balama Mapinduzi na Waziri Mahadhi wa Yanga, walitibiwa mwaka mzima na hawajailipa Yanga kwa matibabu yao
 
Mchezaji hata akiwa mzuri vipi, kama ni majeruhi wa muda mrefu, atachezaje kuonyesha uzuri wake? Balama Mapinduzi na Waziri Mahadhi wa Yanga, walitibiwa mwaka mzima na hawajailipa Yanga kwa matibabu yao
Kwahio ulitaka waachwe wakatibiwe na nani?
 
Mchezaji hata akiwa mzuri vipi, kama ni majeruhi wa muda mrefu, atachezaje kuonyesha uzuri wake? Balama Mapinduzi na Waziri Mahadhi wa Yanga, walitibiwa mwaka mzima na hawajailipa Yanga kwa matibabu yao
Kwanza hao unaoniorodheshea ni wa kiwango au ni wachezaji tegemewa? Kuna hata mmoja ambae ana nafasi ya kuanza? Mfano mchezaji kama Sakho utamtema kwa majeruhi ya mara moja?
 
Mchezaji hata akiwa mzuri vipi, kama ni majeruhi wa muda mrefu, atachezaje kuonyesha uzuri wake? Balama Mapinduzi na Waziri Mahadhi wa Yanga, walitibiwa mwaka mzima na hawajailipa Yanga kwa matibabu yao
Waziri Mahadhi Mendieta au sio?? Mbona alifanya makubwa sana akiwa yanga?? Kiungo hatari.
 
Thadeo Lwanga ilikuwa tusitishe mkataba wake mwezi huu kutokana na jeraha lake kuchelewa kupona na tulikuwa tayari kutafuta mbadala wake ila daktari ametuhakikishia atakuwa amepona kufikia mwisho wa mwezi huu (January)” amesema Ahmed Ally.

Yaani wenzenu wanapeleka wachezaji wao kutibiwa nchi za nje kwa gharam kubwa.... nyie mnawatema, kweli timu yangu haiwajali wachezaji wake Wanawashinda Azam na Yanga aisee!

Kwahiyo huyo Kanote ndo mbadala wa Lyanga, haingii hata nusu, kazi kupepesuka miguu tyu! Nasema Kanote tumepigwa....... yaani anashindwa na Mkude daaa!

Manara alikuwa sahihi kusema "timu inaacha wachezaji wake wazuri kisa majeraha"
Thadeo Lwanga ilikuwa tusitishe mkataba wake mwezi huu kutokana na jeraha lake kuchelewa kupona na tulikuwa tayari kutafuta mbadala wake ila daktari ametuhakikishia atakuwa amepona kufikia mwisho wa mwezi huu (January)” amesema Ahmed Ally.

Yaani wenzenu wanapeleka wachezaji wao kutibiwa nchi za nje kwa gharam kubwa.... nyie mnawatema, kweli timu yangu haiwajali wachezaji wake Wanawashinda Azam na Yanga aisee!

Kwahiyo huyo Kanote ndo mbadala wa Lyanga, haingii hata nusu, kazi kupepesuka miguu tyu! Nasema Kanote tumepigwa....... yaani anashindwa na Mkude daaa!

Manara alikuwa sahihi kusema "timu inaacha wachezaji wake wazuri kisa majeraha"
Nadhani kabla ya kuilaumu Simba unatakiwa kujua ni kwanini mchezaji huyo alitakiwa kuachwa na uyajue na mazingira ya kuachwa kwa mchezaji!



Kwanza fahamu kuwa mchezaji husika ni mgeni na kwa mujibu wa kanuni za TFF idadi yao ina ukombozi yaani wanatakiwa 12 tu, sasa huwezi kuwa na mchezaji wa nje ambaye kwa msimu mzima hutaweza kumtumia huku unakabiliwa na michezo migumu hasa mashindano ya ndani na nje!!

Kwahiyo kama mchezaji wa nje hataweza kutumika kwa msimu mzima, busara ni yeye kuondolewa kwenye mfumo ili nafasi yake izibwe na mchezaji mwingine! Lakini kama ni Mtanzania unaweza kusubiri hadi apone Mfano: Salimu Mbonde ilifanyika hivyo!


Simba inachokifanya inakubaliana na mchezaji kusitisha Mkataba lakini matibabu inamhudumia hiki kilifanyika kwa Fraga!
 
Kuna tatizo la kipa simba wanajifanya kama hawalioni vile yule ali salum na beno kakolanya hawafai kukaa wasaidizi benchi la simba ngoja siku manula aumie.
 
Back
Top Bottom