Simba Sc tuliona habari za TFF na GSM kupitia mitandao

Simba Sc tuliona habari za TFF na GSM kupitia mitandao

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
20211208_04035094569.jpg

Screenshot_20211208-040425_Chrome.jpg

20211208_03565731704.jpg

20211208_043705.jpg


Naambiwa hapa hata Mdhamini Mkuu hakushirikishwa. Yeye kahoji kimya kimya asiharibu hali ya hewa. Hivi viongozi wa hovyo kama hawa wataisha lini.
 
Nyie msitafute sababu za kutoleta timu uwanjani.Njoon mle za kutosha acheni kutapatapa🤣🤣
 
Azam ana timu ila anamashindo ya Azam Confederation mbona hili watu hawaoji
 
Azam ana timu ila anamashindo ya Azam Confederation mbona hili watu hawaoji
Ankoo huko ulikotoka kabla hujarudi rejea PSL South Africa, DSTV premier league na wana timu ligi kuu inaitwa Supersport Utd.
.
Lakini haya bado ni maswali
.
Tunahitaji kupewa elimu
 
Safari hii lazima watarudi tena cas kulazimisha nembo ikae begani kwa mpigania nchi kimataifa.
 
Nyie msitafute sababu za kutoleta timu uwanjani.Njoon mle za kutosha acheni kutapatapa🤣
Kama ungekuwa unajua kiingereza, usingezungumzia masuala ya kuleta timu uwanjani 😛😛😛
 
Mkuu shaka ondoa hakuna, hakuna nembo itayovaliwa.
Kama mbwai, iwe mbwai.
 
Nyie msitafute sababu za kutoleta timu uwanjani.Njoon mle za kutosha acheni kutapatapa🤣🤣
Alafu hayo magoli atayafunga nani ?!
Mm navyojua UTO hawana forward ya kufunga magoli yanayoitwa yakutosha.
 
Azam ana timu ila anamashindo ya Azam Confederation mbona hili watu hawaoji
Uwa naamini mtu aliepo hapa jf ana uelewa mzuri,ila ukisoma maoni ya baadhi ya watu kama wewe, uwa nawadharau sana,hivi ujui kuwa Azam media ltd,na Azamfc ltd ni kampuni mbili zinazofanya biashara tofauti?! Au wewe ndio mafanikio ya shule za kata katika ule mpango wa k tatu! Kusoma kuandika kuesabu?
 
Back
Top Bottom