OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ongeza nyama.View attachment 3032703
Klabu ya Simba tumethibitisha kuinasa saini ya kiungo mshambuliaji Ahoua Jean Charles raia wa Ivory Coast 🇨🇮 kwa mkataba wa miaka miwili.
Aongeze nyama kidogo[emoji3][emoji3]Mwasibu andika kwa mbwembwe sana kama ulivyokua unaandika zamani.
Unamjua?Huyu huyu afadhari mngempa miezi miwili tu
Sawa tambi tambi.nimeangalia crip zake. sioni akitoboa simba. football ya bongo more of passion and strength.. huyu mapema tu.
Jamaa awezi ku press kabisa.