OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ahoua mwenye umri wa miaka 22 amesajiliwa kutoka klabu ya Stella Club d’Adjamé ya nchini kwao Ivory Coast.
Katika msimu wa 2023/24 Ahoua ameibuka mchezaji bora wa Ligi Kuu nchini Ivory Coast (MVP) na klabu yake huku akifunga mabao 12 na kutoa ‘assist’ tisa.
Ahoua anasifika kwa kufunga mabao kutoka umbali mrefu, kuchezesha timu pamoja kutengeneza nafasi kwa wenzie.
PIA SOMA
- Ahoua Jean Charles usajili bora zaidi Tanzania