Huyu ni utopolo mwenzio mkuuWachawi bhana..eti nacheka..washabiki wanaishabikia timu yenye rangi ya mavi yaaani njano na kijani,lazima mpinge kila kitu kinackofanywa na Simba,hatutegemei muongee mazuri kwa Simba mtabaki mkicheka kichawi tu.
Yanga ni kikundi cha wachawi na majini.
Chama hakuwa bora alipokuwa Simba,Leo Mme msajili nasi amekuwa bora kuliko wachezaji wenu woteNawaona wachezaji wanaosajiliwa, wanatambulishwa kwa mbwembwe, bashasha lakini kiukweli naona kama utani tu.
Hakuna hata mchezaji mmoja mwenye kaliba ya Triple C.
Nacheka lakini Naogopa.
😀😀😀 sema yule msemaji wa makolo anajua kuwajaza upepo mashabiki. Akatuambia usajiri wa Onana walipigiwa simu na Etoo, sijui Ngoma walimuiba airportKwa vyovyote iwavyo napenda niwakumbushe wanazi wa Simba kuwa MWAKA JANA WAKATI WA USAJILI TULIAMINISHWA KWA MBWEMBWE SANA YA KUWA SIMBA IMESAJILI KIKOSI KIKALI SANA. Nadhani wote mnakumbuka vibe lilivyokuwa na ukichanganya na msemaji wa Simba alivyokuwa anawapamba wachezaji wanaosajiliwa
Tutunze akiba ya maneno. Hopes zilikuwa juu mno mwanzo wa msimu uliopita kwa wanazi wa Simba na matokeo yake tuliyaona
Nyie mbumbumbu mlilogwaYANGA (vibabu fc)
Chama (34) Mzee
Sureboy (34) Mzee
Mkude (32) Mzee
Makudubela( 38) kibabu
Duara(30) Mzee
Aziz ki ( 29) Makamo
Aucho (32) Mzee
Pacome(30)Mzee
Yaoyao(28)
Mh ; Timu ya vibabu hii. Nani atamtuma mwenzake kukoka kikome?
SIMBA (vijana fc):
Kibu(22)
Mkwala (22)
Mutale(22)
Chasambi(19)
Lawi(19)
Ahoua( 22)
Malone(24)
Tshabalala (27)
Damu changa hizi.
Acha tu yaani mkuu😀😀😀 sema yule msemaji wa makolo anajua kuwajaza upepo mashabiki. Akatuambia usajiri wa Onana walipigiwa simu na Etoo, sijui Ngoma walimuiba airport
Mkuu huwezi jaza team nzima MVP. Duniani hakuna team ya hivyo Chama Tumeongeza kama bonus maana alikuwa mchezaji wa bure kama Dar Young Africans tukaona ni vyema kuchukua bonusMtaji wa ma Mvp umaekata saivi mmehamia kwa free agent kina chama 😀
Mtaji wa ma Mvp umaekata saivi mmehamia kwa free agent kina chama 😀
Nimepiga kwenye mshono . Mnasajili kikundi cha wazee . Chama 34 , Dube 34. Mwakani malalamiko kwa Karia na tff yake tutayasikiaNyie mbumbumbu mlilogwa
Acha kutusumbua kujadili shirikisho
Kwamba chama mmempata bure? Hakuna Sign Fees sio? JidanganyeMkuu huwezi jaza team nzima MVP. Duniani hakuna team ya hivyo Chama Tumeongeza kama bonus maana alikuwa mchezaji wa bure kama Dar Young Africans tukaona ni vyema kuchukua bonus
Kwani mgemsajili huyu jean Charles badala ya Chama mngepungukiwa nini?
AaahaaaMwasibu andika kwa mbwembwe sana kama ulivyokua unaandika zamani.
Kaweka mfukoni kapita hiviKwamba chama mmempata bure? Hakuna Sign Fees sio? Jidanganye
Sasa mkuu unataka wachezeshaji wote bora wawe team moja tunapenda ushindani Wana Dar Young Africans tumefurahi mmeanza kujifunza namna ya kufanya Usajili misimu miwili Mfululizo tumesajili MVP wa Ivory Coast msimu wa tatu mmeenda.Kwani mgemsajili huyu jean Charles badala ya Chama mngepungukiwa nini?
Baadae lawama 🗣️Mangungu tuachie timu yetuSimba imewapiga bao waarabu kumsajili huyo jamaa, Simba wako serious sana na usajili safari hii.
MVP mpya wa ligi ya Ivory Coast ametua Msimbazi.
Simba imewapiga bao waarabu kumsajili huyo jamaa, Simba wako serious sana na usajili safari hii.
MVP mpya wa ligi ya Ivory Coast ametua Msimbazi.
Chama kaiacha 5imba sio 5imba imemuacha ChamaMkuu unataka kujenga timu au unamtaka Chama Mpya?
Kama unamtaka Chama basi tukuambie huwezi pata mchezaji aina ya Chama. Pole.
Kama unataka kujenga timu, unataka timu bora. Karibu sana Msimbazi.
N.B. Chama bado ni mchezaji mzuri, i mean anavumilika kwa kiwango chake. Ila katika maamuzi bora Simba waliwahi kuyafanya basi ni hii kuachana na Chama. Pongezi kwao. [emoji122]
Peleka hao vijana kombe la loserYANGA (vibabu fc)
Chama (34) Mzee
Sureboy (34) Mzee
Mkude (32) Mzee
Makudubela( 38) kibabu
Duara(30) Mzee
Aziz ki ( 29) Makamo
Aucho (32) Mzee
Pacome(30)Mzee
Yaoyao(28)
Mh ; Timu ya vibabu hii. Nani atamtuma mwenzake kukoka kikome?
SIMBA (vijana fc):
Kibu(22)
Mkwala (22)
Mutale(22)
Chasambi(19)
Lawi(19)
Ahoua( 22)
Malone(24)
Tshabalala (27)
Damu changa hizi.