Simba Sc tumemsajili kiungo wa Ivory Coast, Ahoua Jean

Simba Sc tumemsajili kiungo wa Ivory Coast, Ahoua Jean

Wachawi bhana..eti nacheka..washabiki wanaishabikia timu yenye rangi ya mavi yaaani njano na kijani,lazima mpinge kila kitu kinackofanywa na Simba,hatutegemei muongee mazuri kwa Simba mtabaki mkicheka kichawi tu.

Yanga ni kikundi cha wachawi na majini.
Huyu ni utopolo mwenzio mkuu
 
Nawaona wachezaji wanaosajiliwa, wanatambulishwa kwa mbwembwe, bashasha lakini kiukweli naona kama utani tu.

Hakuna hata mchezaji mmoja mwenye kaliba ya Triple C.

Nacheka lakini Naogopa.
Chama hakuwa bora alipokuwa Simba,Leo Mme msajili nasi amekuwa bora kuliko wachezaji wenu wote
 
Binafsi sipendi style hiyo ya utambulisho...
Ni kama idara ya habari imefilisika...hakuna ubunifu zaidi ya majigambo....
 
Kwa vyovyote iwavyo napenda niwakumbushe wanazi wa Simba kuwa MWAKA JANA WAKATI WA USAJILI TULIAMINISHWA KWA MBWEMBWE SANA YA KUWA SIMBA IMESAJILI KIKOSI KIKALI SANA. Nadhani wote mnakumbuka vibe lilivyokuwa na ukichanganya na msemaji wa Simba alivyokuwa anawapamba wachezaji wanaosajiliwa

Tutunze akiba ya maneno. Hopes zilikuwa juu mno mwanzo wa msimu uliopita kwa wanazi wa Simba na matokeo yake tuliyaona
😀😀😀 sema yule msemaji wa makolo anajua kuwajaza upepo mashabiki. Akatuambia usajiri wa Onana walipigiwa simu na Etoo, sijui Ngoma walimuiba airport
 
YANGA (vibabu fc)

Chama (34) Mzee
Sureboy (34) Mzee
Mkude (32) Mzee
Makudubela( 38) kibabu
Duara(30) Mzee
Aziz ki ( 29) Makamo
Aucho (32) Mzee
Pacome(30)Mzee
Yaoyao(28)

Mh ; Timu ya vibabu hii. Nani atamtuma mwenzake kukoka kikome?


SIMBA (vijana fc):

Kibu(22)
Mkwala (22)
Mutale(22)
Chasambi(19)
Lawi(19)
Ahoua( 22)
Malone(24)
Tshabalala (27)

Damu changa hizi.
 
YANGA (vibabu fc)

Chama (34) Mzee
Sureboy (34) Mzee
Mkude (32) Mzee
Makudubela( 38) kibabu
Duara(30) Mzee
Aziz ki ( 29) Makamo
Aucho (32) Mzee
Pacome(30)Mzee
Yaoyao(28)

Mh ; Timu ya vibabu hii. Nani atamtuma mwenzake kukoka kikome?


SIMBA (vijana fc):

Kibu(22)
Mkwala (22)
Mutale(22)
Chasambi(19)
Lawi(19)
Ahoua( 22)
Malone(24)
Tshabalala (27)

Damu changa hizi.
Nyie mbumbumbu mlilogwa
Acha kutusumbua kujadili shirikisho
 
Mtaji wa ma Mvp umaekata saivi mmehamia kwa free agent kina chama 😀
Screenshot_20240703-224156.png
 
Hatumpi mchezaji Maua yake kwa yaliyopita,,,aje hapa atudhihirishie ubora wake kiwanjani....
 
Kwani mgemsajili huyu jean Charles badala ya Chama mngepungukiwa nini?
Sasa mkuu unataka wachezeshaji wote bora wawe team moja tunapenda ushindani Wana Dar Young Africans tumefurahi mmeanza kujifunza namna ya kufanya Usajili misimu miwili Mfululizo tumesajili MVP wa Ivory Coast msimu wa tatu mmeenda.
 
Simba imewapiga bao waarabu kumsajili huyo jamaa, Simba wako serious sana na usajili safari hii.

MVP mpya wa ligi ya Ivory Coast ametua Msimbazi.
Baadae lawama 🗣️Mangungu tuachie timu yetu
Simba imewapiga bao waarabu kumsajili huyo jamaa, Simba wako serious sana na usajili safari hii.

MVP mpya wa ligi ya Ivory Coast ametua Msimbazi.
 
Mkuu unataka kujenga timu au unamtaka Chama Mpya?

Kama unamtaka Chama basi tukuambie huwezi pata mchezaji aina ya Chama. Pole.

Kama unataka kujenga timu, unataka timu bora. Karibu sana Msimbazi.

N.B. Chama bado ni mchezaji mzuri, i mean anavumilika kwa kiwango chake. Ila katika maamuzi bora Simba waliwahi kuyafanya basi ni hii kuachana na Chama. Pongezi kwao. [emoji122]
Chama kaiacha 5imba sio 5imba imemuacha Chama
 
YANGA (vibabu fc)

Chama (34) Mzee
Sureboy (34) Mzee
Mkude (32) Mzee
Makudubela( 38) kibabu
Duara(30) Mzee
Aziz ki ( 29) Makamo
Aucho (32) Mzee
Pacome(30)Mzee
Yaoyao(28)

Mh ; Timu ya vibabu hii. Nani atamtuma mwenzake kukoka kikome?


SIMBA (vijana fc):

Kibu(22)
Mkwala (22)
Mutale(22)
Chasambi(19)
Lawi(19)
Ahoua( 22)
Malone(24)
Tshabalala (27)

Damu changa hizi.
Peleka hao vijana kombe la loser
 
Back
Top Bottom