Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ningekuwa nakula kwenu ungenipangia cha kupostWe jamaa una matatizo au shida nini? mda wote ni kufungua nyuzi za simba tuu
Sawa kaka angu Chukwu emeka ushauri mzuri kaka...Nadhani next season mjiandae kisaikologia kwamba mnatengeneza timu,mkibahatika kikombe iwe bonus tu, kwasababu wachezaji wageni wanaweza kuingia na kuuwasha moto vizuri tu au wakaanza kuzoea gradually, kumbuka na kocha anakuja mgeni,msijipe hopes nyingi inabidi mrelax tu kwasababu timu, tofauti na hapo mtakuwa hamuuheshimu mpira Kalpana na hili pia take note
Sawa tumepokea ushauri...Siwapangii nawakumbusha tu ili msijiaminishe kwa asilimia mia. Wekeni akiba kidogo
Nashukuru sana mkuu na kwako pia 🙏Sawa kaka angu Chukwu emeka ushauri mzuri kaka...
Ilaaaa sitaki kusema mengi sana...
Uwe na usiku mwema mtani...