Wakuu salaam,
Baada ya sajili mpya kocha aliamua kubadili mfumo ajili ya maingizo mapya kitu ambacho kinaigharimu team hadi sasa.
Kocha alipaswa kutumia mfumo wa awali then akawa-train wachezaji wapya ili waingie katika mfumo hii isingetugharimu sana maana maingizo mapya muhimu katika kikosi cha kwanza ni mawili tu.
Yeyote anaesoma hapa na yupo karibu na uongozi/benchi la ufundi waambieni tatizo la Simba ni kubadili mfumo hivo suluhu yake ni kocha kurejesha mfumo wa awali kisha apange kikosi cha zamani alafu kwenye nafasi za chama na luis ndo aweke maingizo mapya tofauti na hapo mabadiliko ya mfumo yataendelea kutugharimu kwa sababu kikosi kizima kinalazimika kuuzoea mfumo mpya jambo ambalo laweza chukua muda mrefu.
Karibuni kwa maoni na michango yenu.
Baada ya sajili mpya kocha aliamua kubadili mfumo ajili ya maingizo mapya kitu ambacho kinaigharimu team hadi sasa.
Kocha alipaswa kutumia mfumo wa awali then akawa-train wachezaji wapya ili waingie katika mfumo hii isingetugharimu sana maana maingizo mapya muhimu katika kikosi cha kwanza ni mawili tu.
Yeyote anaesoma hapa na yupo karibu na uongozi/benchi la ufundi waambieni tatizo la Simba ni kubadili mfumo hivo suluhu yake ni kocha kurejesha mfumo wa awali kisha apange kikosi cha zamani alafu kwenye nafasi za chama na luis ndo aweke maingizo mapya tofauti na hapo mabadiliko ya mfumo yataendelea kutugharimu kwa sababu kikosi kizima kinalazimika kuuzoea mfumo mpya jambo ambalo laweza chukua muda mrefu.
Karibuni kwa maoni na michango yenu.