TUPAMBANE SANA
Member
- Nov 21, 2018
- 29
- 26
Simba sasa tumekuwa kama pombe ya ngomani kila mtu anataka ainywe.
Hakuna timu sasa inayoogopa kucheza na Simba. Inashangaza sana kuona timu zinafunguka mbele ya Simba wakati nakumbuka ukiwa unacheza na simba lazima uchague kati ya haya ufunguke upigwe Mkono au ujilinde upigwe 2 au tatu.
Hali sasa imekuwa tofauti kabisa timu zinafunguka zinaweka mpira chini mpaka wakati mwingine mimi mshabiki wa Simba naombea Mpira uishe. Anzia match na Makwasukwasu fc kwa kweli nilikuwa naomba mpira uishe.
Njoo kwa Polis JKT pamoja na kwamba tulishinda ila polis waliupiga mwingi sana. JKT leo wakutufunga jamani.
Tuachane na Hayo.
Nini cha kufanya viongozi wa Simba
Kwanza kabisa viongozi wa simba wajitadhmini na wajichunguze nahisi wengi wao wapo ki maslahi. Huwa najaribu kujiuliza kosa la uchebe lilikuwa haliwezi kuvumilika na kurekebishika? Uchebe Alikwama wapi? Binafsi uchebe alikwamishwa na viongozi wenye kupenda matumbo yao. Kwanza wachezaji aliowaomba haukupewa na aliowaomba wabaki pia uongozi uliwaacha wakaondoka sasa unasajili wachezaji kwa matako yako wewe kiongozi.
Kocha aletwe mwingine na kuhusu kusajili akabidhiwe kocha pia. Mo kwanini swala la wapiga dili usiachane nao? unarudisha mizigo ile ile kwenye uongozi fukuza wote tia pesa yako jenga heshima kwanza Africa kwa kuchukua hata kombe mara moja. Ndio maana hata timu ndogo ikipangwa na Simba hawaogopi tena Ila ukichukua champion league timu itakuwa na hofu na wewe.
Kwa heri. Mo zingatia ushauri huo
Hakuna timu sasa inayoogopa kucheza na Simba. Inashangaza sana kuona timu zinafunguka mbele ya Simba wakati nakumbuka ukiwa unacheza na simba lazima uchague kati ya haya ufunguke upigwe Mkono au ujilinde upigwe 2 au tatu.
Hali sasa imekuwa tofauti kabisa timu zinafunguka zinaweka mpira chini mpaka wakati mwingine mimi mshabiki wa Simba naombea Mpira uishe. Anzia match na Makwasukwasu fc kwa kweli nilikuwa naomba mpira uishe.
Njoo kwa Polis JKT pamoja na kwamba tulishinda ila polis waliupiga mwingi sana. JKT leo wakutufunga jamani.
Tuachane na Hayo.
Nini cha kufanya viongozi wa Simba
Kwanza kabisa viongozi wa simba wajitadhmini na wajichunguze nahisi wengi wao wapo ki maslahi. Huwa najaribu kujiuliza kosa la uchebe lilikuwa haliwezi kuvumilika na kurekebishika? Uchebe Alikwama wapi? Binafsi uchebe alikwamishwa na viongozi wenye kupenda matumbo yao. Kwanza wachezaji aliowaomba haukupewa na aliowaomba wabaki pia uongozi uliwaacha wakaondoka sasa unasajili wachezaji kwa matako yako wewe kiongozi.
Kocha aletwe mwingine na kuhusu kusajili akabidhiwe kocha pia. Mo kwanini swala la wapiga dili usiachane nao? unarudisha mizigo ile ile kwenye uongozi fukuza wote tia pesa yako jenga heshima kwanza Africa kwa kuchukua hata kombe mara moja. Ndio maana hata timu ndogo ikipangwa na Simba hawaogopi tena Ila ukichukua champion league timu itakuwa na hofu na wewe.
Kwa heri. Mo zingatia ushauri huo