Simba SC tunaomba tupangiwe robo final na Yanga Mapinduzi Cup

Simba SC tunaomba tupangiwe robo final na Yanga Mapinduzi Cup

Safari ijayo tutawapangia kikosi kilichocheza jana na KVZ, ili na nyinyi muambulie sare. Maana goli 5 siyo poa hata kidogo.
Tunawataka first 11 aisee....wale wale waliocheza ile game...
Kwa sbb nyie ndo kwa mara ya kwanza kumfunga Simba hivyo lazima iwe historia..ila naona iliwauma sana mlipokandwa 5 na zile 6...mnadhani sisi ndo nyinyi..
 
Unazungumzia hivi vicombe uchwara vya ndani ambapo marefaa wanapewa bahasha au wanaamua kuibeba timu mbovu na duni na kuilazimishia ushindi...achana na hivi vicombe vya mtogole na buz vinavyochezeshwa na wachawi wenzenu na waamuzi wa bahasha..hivi vikombe havitambuliki hata hapo kenya
Wewe timu yako imechukua kombe gani la maana huko Duniani? Basi timu lako litakuwa bovu kabisa, sababu hata uwezo wa kuchukua Mataji mengi ya ndani ni mdogo.
 
Tunawataka first 11 aisee....wale wale waliocheza ile game...
Kwa sbb nyie ndo kwa mara ya kwanza kumfunga Simba hivyo lazima iwe historia..ila naona iliwauma sana mlipokandwa 5 na zile 6...mnadhani sisi ndo nyinyi..
Aziz
Pacome
Job
Bacca
Mwamnyeto
Diara
Musonda
Aucho
Hao wote hawapo bado unasema unaitaka Yanga ile ile
 
Ile mechi tff waliyoiokoa simba na kipigo cha azam inaenda kutokea zanzibar
 
Yanga atafungwa
Wachezaji tegemeo wote wako AFCON
Wachache waliobakia wapo makwao wamepewa mapumziko, mfano Aucho, Yao, Pacome

Beki tegemeo ni Gift Fred tu
Ndio maana sipendi tukutane Bora tukutane na azam nusu tumpe ushindi tuje kupumzika final wacheze Azam na simba
 
Back
Top Bottom