Simba SC tunashinda ila Makocha wa JamiiForums tumsaidie Kocha Mgunda kukipanga Kikosi chake

Simba SC tunashinda ila Makocha wa JamiiForums tumsaidie Kocha Mgunda kukipanga Kikosi chake

Kapombe anaweza kuwa fit lakini akakosa game fitness coz hajacheza muda mrefu Sasa kikosi changu ni hiki
1.Manula
2.Israh
3.Zimbwe
4.Onyango
5.Inonga
6.Kanote
7.Mzamiru
8.Chama
9.Phiri
10. Sacko
11. Okrah
 
Jonas Gerald Mkude ni mwana kabisa tena tokea akiwa Simba B na anacheza pale Barafu, Kinesi, Biafra na Kawe, ila kwa sasa amepungua mno Kiwango na akipunguza sana kupenda Kuzibua Mitaro ya akina Hawa wengi na kutumia Jani Tukuka la Bob Marley atarejea kama zamani.
Gentamycine, acha kutumia lugha chafu. Wewe si wa hadhi ya lugha za namna hiyo. Kuna watu tukisoma tunapata kichefuchefu. Ujumbe wako waweza kufika bila kuzuliana mambo machafu ambayo huwezi kuthibitisha.
 
Gentamycine, acha kutumia lugha chafu. Wewe si wa hadhi ya lugha za namna hiyo. Kuna watu tukisoma tunapata kichefuchefu. Ujumbe wako waweza kufika bila kuzuliana mambo machafu ambayo huwezi kuthibitisha.
Rubbish.
 
Halafu eti ww ni mtoto wa kiongozi, tena aliyeheshimika, duh!
Absolute Nonsense. Baba yangu kuwa Kiongozi Mstaafu ( Sekta / Idara fulani ) Tanzania na Mawazo yangu Binafsi hapa JamiiForums yanahusiana vipi?
 
Mimi nina Leseni A ya UEFA kwenye derby waingie wazoefu haohao achana na Kibu..Golini akikaa Aishi amna Mashaka..tabu ni hapo kati kwa Kiungo...Kanoute anacheza rough sana Na game ikishamshinda anapanic na akipanic ni mwendo wa kadi tu Umeme njenjee...Na Mzamiru mapafu ya mbwa panamfaa ila wampe kyombo Dakika kadhaa yote kwa yote tusijioe matumaini sanaaa ya Ushindi ili nyuzi za matusi zipungue baada ya game..tuwe nyutroo tu tukipigwa kama tumepigaView attachment 2394169
Huyo Jamaa kahama Yanga?!
 
Kuwa na Adabu Shomary Kapombe akiwa 100% hakuna Beki yoyote wa Kulia Tanzania hii na si tu kwa huyu Dogo Israel Patrick Mwenda anaweza kumuweka Benchi.

Na kwa Kukusidia tu pamoja na Beki Israel Patrick Mwenda kujitahidi kwa Siku za Karibuni ila kwa tunaoujua vyema Mpira ( Fabo ) bado hata hajafikia 40% tu ya alionao Beki Shomary Kapombe ambaye kuwa Kwake that proin injury kunaharibu performance yake.
Read again bro,hakuna anaeweza kujudge uwezi wa shomari nchi hii.ila kwa sasa hawezi kurudi akaingia moja kwa moja kikosini hiko kitu hakipo katika mpira,..ataingia sub labda israh mechi imshinde kabisa..
 
Mimi nina Leseni A ya UEFA kwenye derby waingie wazoefu haohao achana na Kibu..Golini akikaa Aishi amna Mashaka..tabu ni hapo kati kwa Kiungo...Kanoute anacheza rough sana Na game ikishamshinda anapanic na akipanic ni mwendo wa kadi tu Umeme njenjee...Na Mzamiru mapafu ya mbwa panamfaa ila wampe kyombo Dakika kadhaa yote kwa yote tusijioe matumaini sanaaa ya Ushindi ili nyuzi za matusi zipungue baada ya game..tuwe nyutroo tu tukipigwa kama tumepigaView attachment 2394169
Nimemuona Putin kumbe sio ni mr tozo singida big star
 
Huu uzi ukiusoma kwa kutulia, utagundua kuna kila dalili ya hofu mioyoni mwa watu.

Na hata ikitokea jahazi likazama baharini hiyo kesho, basi kuna watu pia watabebeshwa gunia la malalamiko, kwa sababu wamepanga kikosi dhaifu! Kwa sababu fulani hakupangwa! Kwa nini kocha kamtoa mapema fulani! nk.

Naona team malalamiko wameanza rasmi maandalizi yao.
 
Kapombe anaweza kuwa fit lakini akakosa game fitness coz hajacheza muda mrefu Sasa kikosi changu ni hiki
1.Manula
2.Israh
3.Zimbwe
4.Onyango
5.Inonga
6.Kanote
7.Mzamiru
8.Chama
9.Phiri
10. Sacko
11. Okrah
Kikosi cha simba kinajulikana na ni vyepesi sana kurogeka

Kocha afanye mabadiliko kidogo kuyachanganya majini ya yanga
 
Msingi wa kucheza mpira ni kujituma kwa bidii zako zote.
Ukichoka anguka chini wakubadilishe au omba kubadilishwa.

Nawasifu Yanga wamejituma sana katika game za ndani.
 
Binafsi ningependa zaidi vifuatavyo:

Kikosi A

1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Mohamed Hussein
4. Kennedy Juma
5. Joash Onyango
6. Henock Inonga
7. Saido Kanoute
8. Muzamir Yasin
9. Moses Phiri
10. Clatous Chama
11. Augustine Okra

Kikosi B

1. Aishi Manula
2. Israel Mwenda
3. Mohamed Hussein
4. Joash Onyango
5. Henock Inonga
6. Saido Kanoute
7. Pape Sakho
8. Muzamir Yasin
9. Moses Phiri
10. Clatous Chama
11. Augustine Okra

Kikosi C

1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Mohamed Hussein
4. Kennedy Juma
5. Henock Inonga
6. Saido Kanoute
7. Kibu Denis
8. Muzamir Yasin
9. Moses Phiri
10. Clatous Chama
11. Augustine Okra

Karibuni akina Juma Mgunda wa JamiiForums nanyi kutoa vikosi vyenu. Ila tambueni kuwa Simba SC itashinda mechi hiyo na ushindi kwa Yanga SC ni sare ya magoli au suluhu isiyo na magoli, keshokutwa Jumapili tarehe 23 Oktoba, 2022 Uwanja wa Benjamin Mkapa Temeke Dar es Salaam.
8,9,10,11 ving'ang'anizi kila kikosi wapo hapo hapo😀
 
Kwani yule ustadh wao vipi..kama bado yupo na haijachukuliwa hatua yoyote hata tupange messi ronaldo benzema lewandosky watatunyoa tu
yule ostazi wamemuwai tangia wiki iliyokwisha anaharisha mfululizo.yupo hoi kitandani pembeni ana ndoo kama tatu za kuharishia.
kwasisi Yanga kukosa kazi ya huyu ostazi ni pigo kubwa sana kwetu.ni mungu atusaidie,ila kiukweli trh 23 upepo kwetu ni mbaya sana.
 
Kizuri pia japo nisiwaficheni wana Simba SC wote mlioko hapa JamiiForums kuwa simpendi hakuna mfano huyu Pape Sakho kutokana na Uchoyo na Utoto wake mwingi ambao huwa Unatucheleweshea sana Ushindi wa mapema na hata wa Mchezo mzima.
Nikweli haka kajamaa kachoyo na kanacheza selfish mno! hataivyo nakumbuka uliwahi kusema ni bonge la mchezaji hata luis jose hafiki! naona bado ananafas yakutusaidia kikosini! tumvumilie
 
💪Yanga quality and strength yao ipo kwenye dimba la kati yani Midfielders wao ni wazuri kupiga pass (short,quick and accurate pass) pia ni wazuri katika ku control tempo ya mchezo.

Ukitaka kuwapiga kama Ngoma Pia udhaifu wao uko eneo hilo hilo


🦁Angalia First Half Mechi ya Simba na Yanga Ngao ya Hisani mwaka huu kocha wa simba akiwa Zoran Maki.

🦁
Angalia Game ya FA Fainali COAST VS YANGA

🦁Angalia Game zote mbili za Al HILAL vs YANGA

🙋‍♂️Ukigundua kitu mstue Mgunda
 
Binafsi ningependa zaidi vifuatavyo:

Kikosi A

1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Mohamed Hussein
4. Kennedy Juma
5. Joash Onyango
6. Henock Inonga
7. Saido Kanoute
8. Muzamir Yasin
9. Moses Phiri
10. Clatous Chama
11. Augustine Okra

Kikosi B

1. Aishi Manula
2. Israel Mwenda
3. Mohamed Hussein
4. Joash Onyango
5. Henock Inonga
6. Saido Kanoute
7. Pape Sakho
8. Muzamir Yasin
9. Moses Phiri
10. Clatous Chama
11. Augustine Okra

Kikosi C

1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Mohamed Hussein
4. Kennedy Juma
5. Henock Inonga
6. Saido Kanoute
7. Kibu Denis
8. Muzamir Yasin
9. Moses Phiri
10. Clatous Chama
11. Augustine Okra

Karibuni akina Juma Mgunda wa JamiiForums nanyi kutoa vikosi vyenu. Ila tambueni kuwa Simba SC itashinda mechi hiyo na ushindi kwa Yanga SC ni sare ya magoli au suluhu isiyo na magoli, keshokutwa Jumapili tarehe 23 Oktoba, 2022 Uwanja wa Benjamin Mkapa Temeke Dar es Salaam.
Mgunda wa mchongo
Kikosi kazi hiki hapa
1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Mohamed Hussein
4. Kennedy Juma
5. Joash Onyango
6. Henock Inonga
7. Saido Kanoute
8. Muzamir Yasin
9. Moses Phiri
10. Clatous Chama
11. ASHURA CHEUPE😅😅
 
Mgunda wa mchongo
Kikosi kazi hiki hapa
1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Mohamed Hussein
4. Kennedy Juma
5. Joash Onyango
6. Henock Inonga
7. Saido Kanoute
8. Muzamir Yasin
9. Moses Phiri
10. Clatous Chama
11. ASHURA CHEUPE[emoji28][emoji28]
Shomari hachezi kesho, bado anatibiwa.
Kennedi acheze namba sita anaiweza Innonga acheze namba 4. Mwenda namba 2
 
yule ostazi wamemuwai tangia wiki iliyokwisha anaharisha mfululizo.yupo hoi kitandani pembeni ana ndoo kama tatu za kuharishia.
kwasisi Yanga kukosa kazi ya huyu ostazi ni pigo kubwa sana kwetu.ni mungu atusaidie,ila kiukweli trh 23 upepo kwetu ni mbaya sana.
Daah Jf bwana[emoji23].

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom