Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gentamycine, acha kutumia lugha chafu. Wewe si wa hadhi ya lugha za namna hiyo. Kuna watu tukisoma tunapata kichefuchefu. Ujumbe wako waweza kufika bila kuzuliana mambo machafu ambayo huwezi kuthibitisha.Jonas Gerald Mkude ni mwana kabisa tena tokea akiwa Simba B na anacheza pale Barafu, Kinesi, Biafra na Kawe, ila kwa sasa amepungua mno Kiwango na akipunguza sana kupenda Kuzibua Mitaro ya akina Hawa wengi na kutumia Jani Tukuka la Bob Marley atarejea kama zamani.
Rubbish.Gentamycine, acha kutumia lugha chafu. Wewe si wa hadhi ya lugha za namna hiyo. Kuna watu tukisoma tunapata kichefuchefu. Ujumbe wako waweza kufika bila kuzuliana mambo machafu ambayo huwezi kuthibitisha.
Halafu eti ww ni mtoto wa kiongozi, tena aliyeheshimika, duh!Rubbish.
Absolute Nonsense. Baba yangu kuwa Kiongozi Mstaafu ( Sekta / Idara fulani ) Tanzania na Mawazo yangu Binafsi hapa JamiiForums yanahusiana vipi?Halafu eti ww ni mtoto wa kiongozi, tena aliyeheshimika, duh!
Huyo Jamaa kahama Yanga?!Mimi nina Leseni A ya UEFA kwenye derby waingie wazoefu haohao achana na Kibu..Golini akikaa Aishi amna Mashaka..tabu ni hapo kati kwa Kiungo...Kanoute anacheza rough sana Na game ikishamshinda anapanic na akipanic ni mwendo wa kadi tu Umeme njenjee...Na Mzamiru mapafu ya mbwa panamfaa ila wampe kyombo Dakika kadhaa yote kwa yote tusijioe matumaini sanaaa ya Ushindi ili nyuzi za matusi zipungue baada ya game..tuwe nyutroo tu tukipigwa kama tumepigaView attachment 2394169
Read again bro,hakuna anaeweza kujudge uwezi wa shomari nchi hii.ila kwa sasa hawezi kurudi akaingia moja kwa moja kikosini hiko kitu hakipo katika mpira,..ataingia sub labda israh mechi imshinde kabisa..Kuwa na Adabu Shomary Kapombe akiwa 100% hakuna Beki yoyote wa Kulia Tanzania hii na si tu kwa huyu Dogo Israel Patrick Mwenda anaweza kumuweka Benchi.
Na kwa Kukusidia tu pamoja na Beki Israel Patrick Mwenda kujitahidi kwa Siku za Karibuni ila kwa tunaoujua vyema Mpira ( Fabo ) bado hata hajafikia 40% tu ya alionao Beki Shomary Kapombe ambaye kuwa Kwake that proin injury kunaharibu performance yake.
Nimemuona Putin kumbe sio ni mr tozo singida big starMimi nina Leseni A ya UEFA kwenye derby waingie wazoefu haohao achana na Kibu..Golini akikaa Aishi amna Mashaka..tabu ni hapo kati kwa Kiungo...Kanoute anacheza rough sana Na game ikishamshinda anapanic na akipanic ni mwendo wa kadi tu Umeme njenjee...Na Mzamiru mapafu ya mbwa panamfaa ila wampe kyombo Dakika kadhaa yote kwa yote tusijioe matumaini sanaaa ya Ushindi ili nyuzi za matusi zipungue baada ya game..tuwe nyutroo tu tukipigwa kama tumepigaView attachment 2394169
Kikosi cha simba kinajulikana na ni vyepesi sana kurogekaKapombe anaweza kuwa fit lakini akakosa game fitness coz hajacheza muda mrefu Sasa kikosi changu ni hiki
1.Manula
2.Israh
3.Zimbwe
4.Onyango
5.Inonga
6.Kanote
7.Mzamiru
8.Chama
9.Phiri
10. Sacko
11. Okrah
8,9,10,11 ving'ang'anizi kila kikosi wapo hapo hapo😀Binafsi ningependa zaidi vifuatavyo:
Kikosi A
1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Mohamed Hussein
4. Kennedy Juma
5. Joash Onyango
6. Henock Inonga
7. Saido Kanoute
8. Muzamir Yasin
9. Moses Phiri
10. Clatous Chama
11. Augustine Okra
Kikosi B
1. Aishi Manula
2. Israel Mwenda
3. Mohamed Hussein
4. Joash Onyango
5. Henock Inonga
6. Saido Kanoute
7. Pape Sakho
8. Muzamir Yasin
9. Moses Phiri
10. Clatous Chama
11. Augustine Okra
Kikosi C
1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Mohamed Hussein
4. Kennedy Juma
5. Henock Inonga
6. Saido Kanoute
7. Kibu Denis
8. Muzamir Yasin
9. Moses Phiri
10. Clatous Chama
11. Augustine Okra
Karibuni akina Juma Mgunda wa JamiiForums nanyi kutoa vikosi vyenu. Ila tambueni kuwa Simba SC itashinda mechi hiyo na ushindi kwa Yanga SC ni sare ya magoli au suluhu isiyo na magoli, keshokutwa Jumapili tarehe 23 Oktoba, 2022 Uwanja wa Benjamin Mkapa Temeke Dar es Salaam.
yule ostazi wamemuwai tangia wiki iliyokwisha anaharisha mfululizo.yupo hoi kitandani pembeni ana ndoo kama tatu za kuharishia.Kwani yule ustadh wao vipi..kama bado yupo na haijachukuliwa hatua yoyote hata tupange messi ronaldo benzema lewandosky watatunyoa tu
Nikweli haka kajamaa kachoyo na kanacheza selfish mno! hataivyo nakumbuka uliwahi kusema ni bonge la mchezaji hata luis jose hafiki! naona bado ananafas yakutusaidia kikosini! tumvumilieKizuri pia japo nisiwaficheni wana Simba SC wote mlioko hapa JamiiForums kuwa simpendi hakuna mfano huyu Pape Sakho kutokana na Uchoyo na Utoto wake mwingi ambao huwa Unatucheleweshea sana Ushindi wa mapema na hata wa Mchezo mzima.
Mgunda wa mchongoBinafsi ningependa zaidi vifuatavyo:
Kikosi A
1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Mohamed Hussein
4. Kennedy Juma
5. Joash Onyango
6. Henock Inonga
7. Saido Kanoute
8. Muzamir Yasin
9. Moses Phiri
10. Clatous Chama
11. Augustine Okra
Kikosi B
1. Aishi Manula
2. Israel Mwenda
3. Mohamed Hussein
4. Joash Onyango
5. Henock Inonga
6. Saido Kanoute
7. Pape Sakho
8. Muzamir Yasin
9. Moses Phiri
10. Clatous Chama
11. Augustine Okra
Kikosi C
1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Mohamed Hussein
4. Kennedy Juma
5. Henock Inonga
6. Saido Kanoute
7. Kibu Denis
8. Muzamir Yasin
9. Moses Phiri
10. Clatous Chama
11. Augustine Okra
Karibuni akina Juma Mgunda wa JamiiForums nanyi kutoa vikosi vyenu. Ila tambueni kuwa Simba SC itashinda mechi hiyo na ushindi kwa Yanga SC ni sare ya magoli au suluhu isiyo na magoli, keshokutwa Jumapili tarehe 23 Oktoba, 2022 Uwanja wa Benjamin Mkapa Temeke Dar es Salaam.
Shomari hachezi kesho, bado anatibiwa.Mgunda wa mchongo
Kikosi kazi hiki hapa
1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Mohamed Hussein
4. Kennedy Juma
5. Joash Onyango
6. Henock Inonga
7. Saido Kanoute
8. Muzamir Yasin
9. Moses Phiri
10. Clatous Chama
11. ASHURA CHEUPE[emoji28][emoji28]
Daah Jf bwana[emoji23].yule ostazi wamemuwai tangia wiki iliyokwisha anaharisha mfululizo.yupo hoi kitandani pembeni ana ndoo kama tatu za kuharishia.
kwasisi Yanga kukosa kazi ya huyu ostazi ni pigo kubwa sana kwetu.ni mungu atusaidie,ila kiukweli trh 23 upepo kwetu ni mbaya sana.