Simba SC Uwezekano wa Kutolewa upo

Simba inasumbuliwa na wachezaji kutokujituma uwanjani. Ni wavivu na wazembe. Cha ajabu kocha yupo uwanjani hapo hapo na hajui anachofanya. Vilevile kocha anachelewa kufanya sub. Kibu D anaharibu mpira kutoka dkk ya kwanza na kufanyiwa sub dkk ya 70.

Halafu kibu hana match Fitness , lakini anacheza dakika 70, Yaani anachelewesha sub sana. Huwa naamini huyu kocha anaamini katika miujiza na sio technique
 

Taratibu kaka
 
Sina muda wa kubishana na utopolo kwani Luc Eymael na Msukule Manara walishamaliza kila kitu kuhusu akili za hawa watu. Vichwani wanamatatizo makubwa.
 
Halafu kibu hana match Fitness , lakini anacheza dakika 70, Yaani anachelewesha sub sana. Huwa naamini huyu kocha anaamini katika miujiza na sio technique
Mimi kwangu ukiniuza usajili unaokuja nani aachwe , wa kwanza ni huyo kocha wengine wanafuata.
 
Hakuna timu isiyofungwa duniani. Huyo Berkane unayemsifia alikufa kwa mkapa na alikufa nyumbani kwa USGN.
 
Mkuu mbona unaandika post kama bado una mwiko nyuma?

Simba ni kweli haipo vzr lakini kwenda quarter final ni lazima..

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hujawahi kosea Simba ni Mkolo tu na Mpira hawana.. habari ya mjini now ni Yanga tu[emoji123]
Kinachoifanya ya mjini kipi Simba mbaya sawa Hilo kila mtu analikubali lakini ni mbaya ukilinganisha na nani Kuna hapo umesikia akisema Simba nimbaya ukilinganisha na yanga au wamezunguzia team ziliko caf. Usijaribu kujiingiza hapo hata kidogo Mana huna team yakucheza kimataifa Kama namungo tu ilikushinda
 
Gendarmerie yeye anauzuri gani tuanzie hapo Mana hata akishinda haendi popote hata akidraw bado haendi popote alafu isitoshe yeye mbona kwenye mechi 5 ana point tano tu kwenye kundi hili bado naona yeye ndio kibonde na akafatiwa na Simba kundi lote hili hakuna team ya Mana wote watakaopita kwenda hatua inaofata hawatavuka hatua hio Mana kwenye makundi mengine Kuna team za Mana huko
 
Hawana furaha kuiona simba inafanikiwa

So majungu lazima yawe mengi Sana pamoja na mapungufu ambayo simba anayo Lakin huwez ifananisha na Yanga kwa ubora.....
 
Ukweli mchungu kumeza!.. Asec na Barkene wana mpira mkubwa kuliko ssc.. ukiwaangalia kwa umakini utagundua hilo.
 
ajabu sana Asec walifungwa hapa hakuna aliyeongea na kuwasifu au hata kuwatizama tu kwa jicho watu wakakausha. Leo nao wameshinda kwao watu eti ndio wanawaona bora na kuuona ubovu wa simba. Hii ndio bongo.
Wanachambua kwa mihemko tatizo lao
 
Ety kunishinda Namungo.. nambie mwaka huu nimefungwa na Timu gani Tz hii.. ? Zaidi ya ww kugawa uroda Mbeya na Bukoba.. Mtibwa tu humuwezi ww.. Nyie mshapwaya hamna Jambo mwaka huu mmebaki na wachezaji Wazee tu
 
Ukweli mchungu kumeza!.. Asec na Barkene wana mpira mkubwa kuliko ssc.. ukiwaangalia kwa umakini utagundua hilo.
Shemeji yangu Mama j , kalale muda ni huu wa kudungwa mkuki. Ya wanaume simba waachie wenyewe.
 
Acha mtokewa mnk mna misifa na midadi yasiuo na tija acha mtolewe tu na atakae watoa ndio atakaenda kucheza fainali mnakukbuka kaizer Chief
 
Acha mtokewa mnk mna misifa na midadi yasiuo na tija acha mtolewe tu na atakae watoa ndio atakaenda kucheza fainali mnakukbuka kaizer Chief
Roho ya kichawi hii. Mwisho wa siku mtaona aibu nyie ng'ombe fc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…