Simba SC Uwezekano wa Kutolewa upo

Una mhaho tulia uandike vizuri kenge wewe
Acha mtokewa mnk mna misifa na midadi yasiuo na tija acha mtolewe tu na atakae watoa ndio atakaenda kucheza fainali mnakukbuka kaizer Chief
 
NI kweli asec walikuwa watulivu na utulivu wao ukapelekea wafungwe MAGOLI mengine mawili. Mwisho wa siku mechi ikaisha tatu moja,utulivu wenye matundu ni utulivu gani mazee. Mpira ni magoli na haswa magoli yakipelekea ushindi.simba anaweza tolewa ila si kwa dua na maombi ya wazandiki. WATANZANIA PENDANENI NA HII SI KWA SOKA TU HATA MAJUMBANI MWENU.
 

Sitegemei kuiona SSC ikifika kokote. Safu ya ushambuliaji Simba ni butu na haina madhara. Bora kipindi cha kina OKWINYO
 
kwa upande mmoja nakuunga mkono (investment) lakini sio kweli kwamba uki invest sana ndo utapata matokeo mazuri no garantee kuna mambo mengi sana unatakiwakuwa nayo ushinde michuano flani. ni timu ngapi zime invest zaidi ya simba na haifaka hatua alofika Simba? ukiwa na jibu utajua kuwa ushindi wa michuano sio investment peke yako. japo kikosi cha simba cha sasa sio kizuri sana ila mindset za simba itafikisha mbali katika michuano hii trust me mtu anakaa mapema kwa mkapa tukutane kwenye makundi.
 

Simba alishawahi kucheza zaidi ya Robo fainali michuano ya Klabu Bingwa Africa ?

Siku zote safari yake Huwa ni Roho Fainali baada ya Makundi, unajua ni kwanini . ?

Hata hii michuano safari yake mwisho ni Lazima iwe Robo fainal .

Kinachoibeba ni hiyo makundi; baada ya makundi anakuwa hana uwezo wa ku compete maana anakutana na hard proof inayompelekea kufika mwisho wa uwezo wake .

Hana kikosi cha kucheza nusu fainali .hapo ndio inakuja maana ya Investment.

Halikadhalika, umeshawahi kusikia Ahly imeshindwa Kuingia makundi au robo fainali ....? Why ?

kila Mwaka lazima icheze hizo nafasi , tofauti na Simba, leo atacheza Robo fainal , next season anatoka kwenye Preliminary Stage , no consistency , that is what we call Investment, yani Simba kucheza Robo Fainal au Makundi Sio Investment bali ni inshallah inshallah ya Rabi saidia
 
Halafu ni makosa sana kufikiri Gendermarie ni timu nyepesi.

Washabiki wengi wa kitanzania huwa wana ujinga mwingi sana ambao huenda huambukiza wachezaji pia.

Kwa watu makini wanaoufahamu mpira,hawawezi kuamini eti Genfermarie ni timu mbovu.

Simba bado ana mtihani mgumu sana kwa Mkapa na hasa kwa akili hii ya washabiki na coach waliye naye.Timu itakayoanzishwa ndo utajua ujinga wa coach.
Akianza Bwalya na Kagere tu ujue hilo ni pengo la wachezaji wawili tayari.
 
tafuta kwanza historia ya simba kwenye michuano ya kimataifa ndo uje na facts .
 
Hakuna namna hata mtuseme vibaya gendermarine lazima tutamfunga tu
Hahaaa!!"eti kwa mkapa hatoki mtu"Hiyo ni kanuni namba ngapi ktk mpira?!!
Hayo ni maneno tu ya kufarijiana baada ya kupigwa kitu kizito, ushindi unategemea na jinsi mlivyojipanga, hayo mambo yalikuwa zamani wakati mpira unachezwa gizani.
 
Sitegemei kuiona SSC ikifika kokote. Safu ya ushambuliaji Simba ni butu na haina madhara. Bora kipindi cha kina OKWINYO
Mategemeo si sawa na uhalisia lolote laweza tokea mpirani. Kosa la sisi watanzania ni kubishana sana wakati jambo lenyewe litawadia. Likiwadia tunabishana kwa lingine tutakalobuni baada ya lile la mwanzo. Na mara nyingi tunakuwa na chuki na kutokupenda mafanikio ya wengine. Timu hizi zote zinazokutana zote kwa mtu anaetazama vyema zina mapungufu ya wazi kabisa. ZOTE KATIKA KUNDI.
 
Simba out ya kokoyo
 
Simba kwenye makundi akifuzu, robo fainali anaanzia kwa mkapa, Anamalizia ugenini, hapo ndio tutaona kiwango chao watakapocheza ugenini.
 
Mpira wa migumu una mambo mengi. Kuna makosa, kuna mbinu na ufundi halafu kuna kutokuwa au kuwa na bahati. Ile mechi ilikuwa Assec wameuchukua mchezo ila kipa wao ndiye aliyewatoa mchezoni kwa mistake aliyoifanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…