Simba SC v Young Africans SC


wao wanasema hivyo?!!
 
Mkuu habari ja kupotea, karibu jukwaa kuu hapa tunaaangalia Yanga wanavyoinyanyasa simba.

Btw, Sasa kama huyo profesheno ndio anapiga kama mlevi, vipi sasa hao wadengereko wenzako?

washazoea kula broila..




Wakuu ningependa kujua kujua kama Simba walitoa guard of honour kwa Mabingwa. Kama hawakufanya hivyo itabidi tu Yanga waongeze adhabu kwa kuwachapa mabao kibao.
 
Leo Radio Uhuru wamenikumbusha mbali sana, wanapiga kitu Kalunde cha Msondo Ngoma, nasikia sauti ya marehemu Momba, TX Moshi na Joseph Maina.
 

Ahsante Mkuu, kuna watu wanafiki sana humu ndani halafu wanajiita watakatifu, narudia tena YANGA KAMA LIBOLO!
 
Kipindi cha kwanza cha yanga cha pili cha mnyama
Kaka kwa taarifa yako tu,hii team ya Simba ya mwaka huu inachezaga kipindi cha kwanza tu ambacho wamekaza na hatimaye kufungwa goli 1 tu,sasa subiri kipindi cha 2 uone goli zitakavyokuwa zinamiminika
 
Wakuu ningependa kujua kujua kama Simba walitoa guard of honour kwa Mabingwa. Kama hawakufanya hivyo itabidi tu Yanga waongeze adhabu kwa kuwachapa mabao kibao.

kwa nini mkuu...
 
Yanga leo wameikamata dimba kinoma.
Yani Simba ili walete kaupinzani inabidi wamuingize Sunzu Ngassa atoke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…