WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
Hilo neno LIBOLO wenzetu hawataki kulisikia kabisa
Chuna!Mmeanza,sipati picha angekuwa yeye ndo amekosa ile penalt
Kaseja anaokoa
Jamani tumbo limefuluga mwenzenu
Jamani tumbo limefuluga mwenzenu
Dk 70 oljoro 0 - 1 azam
Mi naisubiri hiyo Sub ya Babu wa kifaransa ya Ngassa,mbona haiji
Angeingiza kama kawaida...Naona mpira wa njano uwanjani
Hivi ungekuwa MWEKUNDU mtani angeingiza timu uwanjani?