samilakadunda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 1,780
- 355
Huko Taifa napo atasem wanashangilia kishabiki hakuna anaeshangilia kwa nidhamu
Leo nashanilia nimelala huku lushoto, hatoki mtu hadi 3 zitimu
Hii post imejaa ushabiki, sioni anaeripoti kwa nidhamu.
Bala Is Always Here.........Siwaoni watani wa jadi; Balantanda na Crashwise humu, kulikoni?
Bala vipi mkuu? This time you are not around.
Matusi yako yatakutokea puani leo.
Acha kulia
Yanga wameongeza...Updates plz, Yanga ilikuwa ikiongoza 1-0, na kuna goli limefungwa ni yanga kaongeza au mnyama kasawazisha. Up date plz
Chanongo out-Singano in.
Kiemba out-Mkude in.
Mkuu ni hama bola muwafunge tu kenge hawa.
Analilia nini huyo kwani hakujua kama LIBOLO litawalibolo leo.