WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
Mkuu WABHEJASANA iweke pembeni hiyo 5m mashabiki wa YANGA waipangie bajeti.
Nirushieni hata pipi kwani niko mbali.
mkianza kufunga nyie itakuwa hivyo ila kama wakitangulia yanga imekula kwenu na refa wao kazi mnayo..
Hiyo kali, itabidi tubadilishane marafiki, maana mimi rafiki zangu zaidi ya asilimia 90 ni Yanga.Mkuu ndoho tabu mwanawane,wala hiyo hakuna nona tena inaweza kuzidi,nakwambie tena eti yni mimi nachukia sana ukigeuka huku 5,ukisema hili 5,ukikanyaga pel 5,yani inanikera wakati mwingine mpaka naogopa hata kuzungumza na jamaa zangu,halafu mbaya zaidi rafiki zangu wengi ni Simba halafu Man U yani ujinga mtupu!.
Mkuu hapo kwenye red huwezi nikopesha mimi kwa riba ndogo kuna kaproject fulani kanazihitaji, maana hiyo ahadi najua haiwezi kukamilika.
Tangu lini umerudisha kadi ya Simba wewe?mkianza kufunga nyie itakuwa hivyo ila kama wakitangulia yanga imekula kwenu na refa wao kazi mnayo..
Hiyo kali, itabidi tubadilishane marafiki, maana mimi rafiki zangu zaidi ya asilimia 90 ni Yanga.
Kwa hiyo unataka kusema sisi hatuwezi kusawazisha na kuongeza?
Kumbe tunaweza ongea biashara, hayo mashimo bado yanapatikana kwa urahisi huko Geita?Mkuu suala la kukopa hilo ni lingine kabisa,na ukija kwa stahili hiyo waweza pata tu kama ukijieleza vizuri achilia mbali kwa riba twaweza fanya kitu flani then ukaipata hiyo mkuu,huezi amini mimi mtaji wangu nilipewa 1.5m nikaanzisha shimo moja tu la dhahabu huko Lwamgasa Geita,lakini leo ninayo zaidi ya 20,so hiyo inawezekana tu mkuu.
Naona mvua ya Simba hiyo inanyesha sasa!
ok! Bin Zubeiry ni mwanamichezo ila Shaffih Dauda ni shabiki tu wa Simba
Jamani watu wa Yanga msije kunitoa macho, mimi nimeikuta tu sehemu nikaona niilete huku tuone wote.
UK mkuu!inanysha wap mkuu,mm hme karbia na uwanja wa taifa,mbna kukavu huku???
hyo mbna ipo virse versa mkuu
Kwa hiyo unataka kusema sisi hatuwezi kusawazisha na kuongeza?