WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
Mkuu WABHEJASANA iweke pembeni hiyo 5m mashabiki wa YANGA waipangie bajeti.
Nirushieni hata pipi kwani niko mbali.
Mkuu ndoho tabu mwanawane,wala hiyo hakuna nona tena inaweza kuzidi,nakwambie tena eti yni mimi nachukia sana ukigeuka huku 5,ukisema hili 5,ukikanyaga pel 5,yani inanikera wakati mwingine mpaka naogopa hata kuzungumza na jamaa zangu,halafu mbaya zaidi rafiki zangu wengi ni Simba halafu Man U yani ujinga mtupu!.