KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,147
Hili jina la hii timu itakayocheza na simba litawasumbua sana mashabiki wa simba hasa kama watafungwa..,mashabiki wa yanga hawatakua na kazi kubwa sana ya kutengeneza kejeli za maudhi dhidi ya wanyama.
Tafakari mwana simba wakati ukiajiandaa dhidi ya libolo -Angola.
