KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,147
Hili jina la hii timu itakayocheza na simba litawasumbua sana mashabiki wa simba hasa kama watafungwa..,mashabiki wa yanga hawatakua na kazi kubwa sana ya kutengeneza kejeli za maudhi dhidi ya wanyama.
Tafakari mwana simba wakati ukiajiandaa dhidi ya libolo -Angola.
Libolo likiwakongoli.Hebu funguka mdau litawasumbua ki vipi!!
Libolo likiwakongoli.
Hebu funguka mdau litawasumbua ki vipi!!
Si ndo maana wakaenda arabuni kujiandaa na kasheshe za libolo?
mkuu nyenyere ebu funguka fresh huko arabuni walienda kufanyia mazoezi libolo?.......libolo la Angola liko sawa na waarabu?
Hili jina la hii timu itakayocheza na simba litawasumbua sana mashabiki wa simba hasa kama watafungwa..,mashabiki wa yanga hawatakua na kazi kubwa sana ya kutengeneza kejeli za maudhi dhidi ya wanyama.
Tafakari mwana simba wakati ukiajiandaa dhidi ya libolo -Angola.
SIMBA NA MALKIA WA NYUKI WAONYESHA UZI WA SUNDERLAND YA ULAYA WATAKAOUTUMIA JUMAPILI DHIDI YA LIBOLO
[TABLE="width: 650, align: center"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mwenyekiti wa klabu hiyo, Alhaj Ismail Aden Rage (kulia), akizungumza na Waandishi wa Habari mchana wa leo, makao makuu ya klabu hiyo, Mtaa wa Msimbazi, kuhamasisha mashabiki wa timu hiyo kujitokeza kwa wingi uwanjani katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika, dhidi ya Recreativo de Libolo ya Angola keshokutwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Kushoto ni Mfadhili wa Simba SC, Rahma AL Kharoos ‘Malkia wa Nyuki'.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Vichwa vya habari vya magezeti
*simba yachanwachanwa na libolo
*simba yapigwa libolo
*libolo came from behind to beat simba
*simba hoi kwa libolo
*simba yaimeza libolo
*simba yaila libolo
*simba yaitafuna libolo