beevenom
JF-Expert Member
- May 1, 2017
- 313
- 432
Naangalia mechi hapa kati ya simba na mbao kiukweli vijana hawa wa simba sc kuna haja ya kujipanga haswa kwa michuano ya kimataifa maana kuna wachezaji hawajitumi kabisa mtu kama kichuya bado hajitumi kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app