Simba SC vs Yanga SC, Mapinduzi Cup final leo. Simba kuondoka na kikombe

Saa mbili na robo usiku wa leo! Kashuhudie jinsi mnyama asivyo na huruma!
 
Simba tunataka kikosi cha VPL leo, kitakachopiga mwananchi dozi za kutosha huku kikisakata Pira Biriani! Wale jamaa wameshatufikisha fainali sasa turudi kwenye kikosi cha mfumo!
 

Mmmmh! Hatari Na kwakweli,
 
Simba tunataka kikosi cha VPL leo, kitakachopiga mwananchi dozi za kutosha huku kikisakata Pira Biriani! Wale jamaa wameshatufikisha fainali sasa turudi kwenye kikosi cha mfumo!

Ndio kinachohitajika, leo
 
Hili linaweza kutokea kukawa na surprise ya wachezaji. Hasa hasa kwa waliokuwa wamemaliza majukumu ya timu zao za taifa.
 
Naona leo mnyama anenda kupakuliwa biliani lake.

Kutoka nanganga, huuko kabisa kusiko toka jua, nawatakia wananchi ushindi wa kishindo.
Karibu hapa Nangumbu tupate gahawa huku tukicheki kandanda
 
Uko Zenj kama kuna dalili ya mvua mvua hivi na mawingu,ama mvua kabisa Uto awaponi.
 
Leo ndio leo kimoko tu 🐈 chali wananchi tunainua makwapa
 
Hili linaweza kutokea kukawa na surprise ya wachezaji. Hasa hasa kwa waliokuwa wamemaliza majukumu ya timu zao za taifa.
Umeona jana manara kampost chama kwamba anakuja kwa ajili ya mechi na tangu mapinduzi ianze hakwepo
 
Simba Sc tulijua tego hili.Chama, Bwalya na Luis majina yalienda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…