Again....Kenyan tourists😀😀😀 Those guys you see there running ''internationally recognised time'' as you put it....will never be seen representing Kenya in any IAAF events.. I know it's hard to believe but those are just tourists having a good time😎😎Ohk but r Kenyans running international recognized time! Tell them not to come then!
2020 Results – Kilimanjaro Marathon
Najua Roho inakuuma watu 200 kuhudhuria Mashemeji chang'aa club! yet mnashuta u-middle income humu ndani! 😀 😀 😀 😀 😀 ☝Again....Kenyan tourists😀😀😀 Those guys you see there running ''internationally recognised time'' as you put it....will never be seen representing Kenya in any IAAF events.. I know it's hard to believe but those are just tourists having a good time😎😎
Runners World Magazine has named the Kilimanjaro Marathon as the no. 2 Wonder of the World Marathon, while Forbes Magazine has named it the 4th best international adventure marathon.
February 13-16, 2020
Zanzibar, Tanzania
Celebrate African culture with 400+ musicians and live performances carnival style-over four days and three enormous stages. Every year, Stone Town, Zanzibar is buzzing with music, dancing, fire eaters and an appetizing food market with Zanzibari favorites and delicacies, visited by thousands around the world.
14 African Music Festivals That Are Worth Catching A Flight For - TravelNoire
CC: fool Gwizzy
I have not refused Simba Vs Yanga has more attendance than Mashemeji derby. All I'm tryna say is that's where the story ends for TZ sports...Najua Roho inakuuma watu 200 kuhudhuria Mashemeji chang'aa club! yet mnashuta u-middle income humu ndani! 😀 😀 😀 😀 😀 ☝
What does Derby attendance got to do with middle income? The whole world knows that Kenya is a sporting giant in Africa. Which sport is Tanzania known for apart from kupiga domo?Najua Roho inakuuma watu 200 kuhudhuria Mashemeji chang'aa club! yet mnashuta u-middle income humu ndani! 😀 😀 😀 😀 😀 ☝
View attachment 1381324
Hi hapa prize money ya Nairobi Marathon....15 times more than Kilimanjaro...Again Kilimanjaro Marathon is awesome but not as a sporting event....it's a tourist attraction. It's good for instagram
Povu sasaDerby that exists on papers,No skill,No football artistry,Nothing,TastelessTanzania is one of the poorest playing soccer Nations in the world
Mbona una wivu wa kike hivi? Ungekuwa mwanamke si ingekuwa balaaUnaona hizo kits, tshirt kofia n.k? Wote ambao wanazo wamelipa. Wakenya tuna options nyingi sana, sio soccer tu kuna raga, mpira wa wavu, riadha. K.m mimi huwezi ukanipata kwenye mechi za soka, labda raga. Point yangu ilikuwa uache ligi za kiboya mzee.
Aisee. Eti wivu wa kike? Kwasababu nimemfahamisha kwamba wakenya wanashiriki kwenye michezo ya aina nyingi na kuhusu marathon zinavoandaliwa? Mbona hiyo ni kweli na sijatumia uongo wowote? Ingekuwa wewe ni mtu mature, usingerukia comment ambayo haikuhusu na isingekuuma kwamba sijaunga mkono hoja yake. Ndio maisha hayo, hatutakubaliana kwenye kila kitu. Hivi karibuni wakenya watajaza siti kwenye hafla ya raga na riadha pi kitu ambacho hakiwezi kikatokea Tz. Face the fact, watu hawafanani na michezo ni zaidi ya soka. Kwa hilo hamna cha kutufunza, punguza kiherehere na umama.Mbona una wivu wa kike hivi? Ungekuwa mwanamke si ingekuwa balaa
Hii inafaa kuitwa wanyonge derby. Hizi time mbili hutifuliwa balaa na hata team ndogo za KPL without much effort.Lets compare today's 2 matches
Gor Mahia vs AFC Leopard
vs
Simba vs Yanga
JPM in the house
MY TAKE
Middle income mnatuangusha aisee! kelele zoote za "Mashemeji derby" inabaki lip service twitter kama kawaida yenu halafu uwanjani empty seats! wakati "Kariakoo Derby" ni full watu wamejaza viti vya uwanja! Mkiambiwa Dar es salaam haina mpinzani hapa EA mnaanza kubisha!
CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096
Mashemeji derby mechi zote mbili hawafikishi hata dola 10,000Derby ya kwanza
Derby ya pili.
CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 MatrixxDerby ya kwanza
Derby ya pili.
Bila shaka wewe ni mwanaumke maana ndio wanaonenaga wivu na hawawezi kumappreciate mwenzao kama amefanya vyema kubali kata na endelea kuwa na wivu wako wakike Tanzania premier league ndio bora East Africa kama ambayo sisi hatuna wivu wa kike tunawakubali kwa upande wa mbioAisee. Eti wivu wa kike? Kwasababu nimemfahamisha kwamba wakenya wanashiriki kwenye michezo ya aina nyingi na kuhusu marathon zinavoandaliwa? Mbona hiyo ni kweli na sijatumia uongo wowote? Ingekuwa wewe ni mtu mature, usingerukia comment ambayo haikuhusu na isingekuuma kwamba sijaunga mkono hoja yake. Ndio maisha hayo, hatutakubaliana kwenye kila kitu. Hivi karibuni wakenya watajaza siti kwenye hafla ya raga na riadha pi kitu ambacho hakiwezi kikatokea Tz. Face the fact, watu hawafanani na michezo ni zaidi ya soka. Kwa hilo hamna cha kutufunza, punguza kiherehere na umama.