Simba SC vs Ze Comedy nani zaidi?

Babumawe

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2014
Posts
2,556
Reaction score
2,571
Kuna mtu hapa kauliza Simba jana kacheza ligi gani, nimemjibu ligi yake katengeneza kikombe chake, kaleta marefa wake, mipira yake, timu tatu na kombe linatolewa JPili.

Huyu jamaa nimemuacha anacheka huku anagalagala chini sijajua anacheka kwa kitu gani?

HAYA MTOE JIBU NANI ZAIDI
 
Timu gani hiyo ilocheza leo na kesho
Azam mlioitoa kwa penat ilikuwa imetoka kucheza jana yake, Pia Namungo ilicheza leo na kesho. Pamoja na hizo ratiba hakuna aliyelalamika maana vilabu viliona ni sehemu tu ya kucheza wachezaji wasiotumika sana.

Ila chakushangaza mnajivunia kuchukua huo ubingwa halafu mnakejeli michuano ya simba huku mkiona kabisa wachezaji wote wanatumiwa bila kujali ni wa first eleven au lah, utopolo akili zenu....
 
Manyau yalicheza mfululizo bila kupumzika ndio maana yalifungwa na waliopumzika muda mrefu. Poleni kwa uonevu.
 
Uzur Simba wanaubunifu wenye manufaa yasionashaka na hawajawah kusikiliza kelele zenye chembechembe ya wivu toka upande wapili. Sanasana kinachofuatia hapo nikuigwa tu na baadhi ya timu kwa kuswitch kidogo utasikia mwananchi cup kama ilivyo Simba day tu.
 
Mlipewa kitabu chenye kurasa 400 kwa ajili ya mfumo wa kiuendeshaji ndani ya Yanga, VP mmefika ukurasa wa ngapi au kila jioni mnaenda kuangalia mazoezi ya simba pale bunju[emoji3][emoji3]
Mkuu utawaweza Hawa mwakalebela fc 🤣🤣🤣
 
Nyie mshaukalia mapinduzi hamna jipya
 
Kipindi cha manji mlikuwa mnapeleka timu ya vijana kushiriki mapinduzi cup ila leo hii mnajivunia kuchukua ubingwa aaaaah utopolo yanalazimisha furaha baada ya kuchacha.
Nyie si hamkushiriki au sio na hamkupapaswa na mabingwa wa kihistoria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…