TP MAZEMBE na ESPERANCE wamepita ugeniniTukio la Jana yanga kuporwa ushindi kwa nguvu limefunika kbsa habri za Simba kupigwa tatu kavu.
Yanga ndio imekuwa the top story kwa watu wote hakn mtu anongelea hbr za Simba ukiongeaa habr za Simba Wanaka kimya.
Simba wanashukuru hili tukio la yanga sna.
Kutoka ni kutoka tu, raja hakuwahi wapiga nje ndani nyie vyura?Mnapigwa ndani nje hata aibu hamuoni!!!
Watanzania walikuwana na uhakika haitoboiIla yanga ndoo imekuwacover kubwa why not Simba
Sasa wapige kelele ili iweje?Ninyi endeleeni kudai mmeonewa.Tukio la Jana yanga kuporwa ushindi kwa nguvu limefunika kbsa habri za Simba kupigwa tatu kavu.
Yanga ndio imekuwa the top story kwa watu wote hakn mtu anongelea hbr za Simba ukiongeaa habr za Simba Wanaka kimya.
Simba wanashukuru hili tukio la yanga sna.
🤣🤣🤣😂😂 Jiran yangu ananikwepa, hataki nimtanieMmevurugwaaaaa..
Sasa toka usiku hamlali ooh goli goli asubui mmeamka nalo...page za caf zote na mamelode mmejaa nyie na malalamiko yenu na mitusi....tumewaachia mlalamike maana mliwapokeaga wenyewe wasauzi leo wamewababua...
Ss hatuna stress..stress mnazo nyie wa kina mwakarobo Jr...
Mchezo wa mpira una matokeo matatu.Mnapigwa ndani nje hata aibu hamuoni!!!
kumbe kibingwa ndo kupachikwa home and away?Simba kapoteza kibingwa, lakini pira limeonekana, siyo Uto muda wote kajificha jikoni anajilinda...
Uto bado mna hasira sana😀😀kumbe kibingwa ndo kupachikwa home and away?
Shangaa nawee hapo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa si kila mtu kafa kivyake..yaani kutolewa kwenu kuwe kunatuhusu sisi... Au tuliwashika miguu msifunge penati.
Kavurugwaaa mbayaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Msitali??
Bado umepagawa
Eeeh bhana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kila mtu anafanya kinachomfurahisha[emoji23][emoji23]
Afu anataka ushindi wa kupewa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Simba kapoteza kibingwa, lakini pira limeonekana, siyo Uto muda wote kajificha jikoni anajilinda...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmevurugwaaaaa..
Sasa toka usiku hamlali ooh goli goli asubui mmeamka nalo...page za caf zote na mamelode mmejaa nyie na malalamiko yenu na mitusi....tumewaachia mlalamike maana mliwapokeaga wenyewe wasauzi leo wamewababua...
Ss hatuna stress..stress mnazo nyie wa kina mwakarobo Jr...
Na nyie hao vijana wamefanya nn? Kina bacca na job hata kupiga penalt hawawezi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tukiwaambia Wasajiri Wao Wapo Busy Kukusanya Wazee
Sasa mkuu unataka tuongee nini,tumetolewa mashindanoni tunajipanga jinsi gani msimu ujao tutavuka hatua hii,unataka tujadili kutolewa kwetu badala ya kupanga mikakati ya kuboresha kikosi chetu au na hilo unataka tulijadili humu? Nyie mnahangaika kwa vile ni mara ya kwanza kufika stage hii baada ya miaka 25. Situation iliyowakuta na sisi ilishatuka huko huko South miaka mitatu iliyopita.Tukio la Jana yanga kuporwa ushindi kwa nguvu limefunika kbsa habri za Simba kupigwa tatu kavu.
Yanga ndio imekuwa the top story kwa watu wote hakn mtu anongelea hbr za Simba ukiongeaa habr za Simba Wanaka kimya.
Simba wanashukuru hili tukio la yanga sna.
Wale Kazi Yao Ni Kuzuia Mambo Ya Kufunga Fungal Na Kupiga Piga Penalty Si Mambo Yao.Na nyie hao vijana wamefanya nn? Kina bacca na job hata kupiga penalt hawawezi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]