Simba SC wakutana na ujumbe kutoka African Football League kuijadili Oktoba

Simba SC wakutana na ujumbe kutoka African Football League kuijadili Oktoba

Soloma TV Online

Senior Member
Joined
Jun 26, 2023
Posts
104
Reaction score
291
Uongozi wa timu ya Soka ya Simba mapema leo wamekutana na wajumbe kutoka AFRICAN FOOTBALL LEAGUE kwa ajili ya kujadili sherehe za Ufunguzi wa Michuano ya African Football League mwezi October 2023 itakayofanyika jijini Dar es Salaam.

Ikumbukwe kuwa timu ya Soka ya Simba ndiye mwakilishi pekee wa Michuano hii.
50df2cccf59142bf9f74beea44398a73_365883703_18367203853071034_8451598510882604075_n.jpg
 
Yeees!!! ..nafikiri caf wamesha elewa ukubwa wa Simba...
kwa hilo wasijali watapata kile wanachokihitaji toka Simba......
na ndio maana baada ya kuona ukubwa wa Simba wakaamua michuano hiyo ianzie kwenye ardhi ya Simba(Tanzania)
 
Yeees!!! ..nafikiri caf wamesha elewa ukubwa wa Simba...
kwa hilo wasijali watapata kile wanachokihitaji toka Simba......
na ndio maana baada ya kuona ukubwa wa Simba wakaamua michuano hiyo ianzie kwenye ardhi ya Simba(Tanzania)
Ukubwa wa robo fainali?
 
Back
Top Bottom