GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
1. Uvutaji Bange (Bangi) uliopitiliza na yupo Mtu hapo hapo Simba SC (namhifadhi) ambaye alimzoesha Kuvuta na mpaka akawa anamnunulia.
2. Umalaya uliopitiliza kiasi kwamba mpaka hivi sasa ana Mahawara Watano ila kuna Mmoja kampangia Kawe (jirani na Ukuta wa Lugalo) ndiyo amemuharibu kabisa tabia.
3. Ulevi wa Kupindukia (uliopitiliza) akiwa na ' Washkaji ' zake ' Kiulevi ' Stamili Mbonde wa Prisons FC na Adam Adam (aliydkuwa akiichezea JKT Tanzania (sasa kapata Timu nchini Misri au Morocco).
4. Kudekezwa na kupendwa kwa kupitiliza na Mwekezaji Mo Dewji (ambaye muda mwingine huwa anampa hata Pesa) Mkude kufanya ayafanyayo akijiamini kuwa Yeye ni zaidi ya Simba SC na ni Mwandamizi hasa.
5. Kutopenda Kupumzika hasa wakiwa Kambini kama Wachezaji wenzake huku muda wote tu akipenda 'Kuzurura' katika Maskani zake za Kawe, Sinza na Mwananyamala huku Usiku akipenda Kutoroka kwenda katika Kumbi za Starehe kuruka 'Majoka' ambayo nayo anayapenda vile vile.
Huko ' Muhimbili ' mnapoteza tu muda.
2. Umalaya uliopitiliza kiasi kwamba mpaka hivi sasa ana Mahawara Watano ila kuna Mmoja kampangia Kawe (jirani na Ukuta wa Lugalo) ndiyo amemuharibu kabisa tabia.
3. Ulevi wa Kupindukia (uliopitiliza) akiwa na ' Washkaji ' zake ' Kiulevi ' Stamili Mbonde wa Prisons FC na Adam Adam (aliydkuwa akiichezea JKT Tanzania (sasa kapata Timu nchini Misri au Morocco).
4. Kudekezwa na kupendwa kwa kupitiliza na Mwekezaji Mo Dewji (ambaye muda mwingine huwa anampa hata Pesa) Mkude kufanya ayafanyayo akijiamini kuwa Yeye ni zaidi ya Simba SC na ni Mwandamizi hasa.
5. Kutopenda Kupumzika hasa wakiwa Kambini kama Wachezaji wenzake huku muda wote tu akipenda 'Kuzurura' katika Maskani zake za Kawe, Sinza na Mwananyamala huku Usiku akipenda Kutoroka kwenda katika Kumbi za Starehe kuruka 'Majoka' ambayo nayo anayapenda vile vile.
Huko ' Muhimbili ' mnapoteza tu muda.