ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Luc Eymeil hakukosea kwamba Mashabiki wa utopolo mnabweka bweka tu kamaFull Mkoko kwa timu ya 10 kwenye msimamo Mlandege lakini wapi?
Jamani Jamani
Mkuu kwao hayo ndiyo mashindano yao makubwa. Hiyo ndiyo CAF CL yao . Kwahiyo usishangae.Jana ndio nimeona mchezaji wa timu kongwe akivua jezi kisa amefunga goli kwenye bonanza.
Daima mbele,nyuma kuna mwiko!ππππBado una maumivu ya kusokomezwa miko 2 ? Maumivu yakizidi , muone daktari.
Mkuu bado tunajiuliza swali hili la msingi.Wameingiza uwanjani kikosi chao cha kwanza kamilifu woooote... kuanzia Manula..palikosekana mchezaji mmoja tu Banda ambaye yupo nchini kwao Malawi
Tofauti na Yanga waliocheza na timu ya Kmkm ambayo ndio timu inayoongoza ligi ya Zanzibar angalau ilionyesha kupambana na kushambulia japo kikosi cha Yanga kilichotumika ni vijana wadogo wengi wao wapya na wale wasiopata namba mara kwa mara.
Cha kujiuliza hapa je, hii simba, kama imeshindwa kufurukuta kwa wale madogo
Kweli itafika fainali?
Itaweza chukua taji?
Hata huko shirikisho itakuwaje?
Jamani jamani...haya...
Ni mimi shabiki wa Mbeya city lia lia
Nawasilisha
Aaah....eti Morrison nae kaenda kukakumba kale katoto hadi kakaenda kuangukia kwenye njia ya kukimbilia daah...Akuna mtoto aliyekomaa uso Duniani.
Mzee Mwiko. Vipi Nyuma Mwiko maana yake ni nini!?Full Mkoko kwa timu ya 10 kwenye msimamo Mlandege lakini wapi?
Jamani Jamani
Jana ndio nimeona mchezaji wa timu kongwe akivua jezi kisa amefunga goli kwenye bonanza.
Uking'oa huu mwiko nyuma utapata jawabuMkuu bado tunajiuliza swali hili la msingi.View attachment 2073207
Nyani haoni kundule. Nyie Utopolo mmeishinda KMKM? Au unaropoka bila kushirikisha medulla oblongata yakoWameingiza uwanjani kikosi chao cha kwanza kamilifu woooote... kuanzia Manula..palikosekana mchezaji mmoja tu Banda ambaye yupo nchini kwao Malawi
Tofauti na Yanga waliocheza na timu ya Kmkm ambayo ndio timu inayoongoza ligi ya Zanzibar angalau ilionyesha kupambana na kushambulia japo kikosi cha Yanga kilichotumika ni vijana wadogo wengi wao wapya na wale wasiopata namba mara kwa mara.
Cha kujiuliza hapa je, hii simba, kama imeshindwa kufurukuta kwa wale madogo
Kweli itafika fainali?
Itaweza chukua taji?
Hata huko shirikisho itakuwaje?
Jamani jamani...haya...
Ni mimi shabiki wa Mbeya city lia lia
Nawasilisha