ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Wameingiza uwanjani kikosi chao cha kwanza kamilifu woooote... kuanzia Manula..palikosekana mchezaji mmoja tu Banda ambaye yupo nchini kwao Malawi
Tofauti na Yanga waliocheza na timu ya Kmkm ambayo ndio timu inayoongoza ligi ya Zanzibar angalau ilionyesha kupambana na kushambulia japo kikosi cha Yanga kilichotumika ni vijana wadogo wengi wao wapya na wale wasiopata namba mara kwa mara.
Cha kujiuliza hapa je, hii simba, kama imeshindwa kufurukuta kwa wale madogo
Kweli itafika fainali?
Itaweza chukua taji?
Hata huko shirikisho itakuwaje?
Jamani jamani...haya...
Ni mimi shabiki wa Mbeya city lia lia
Nawasilisha
Tofauti na Yanga waliocheza na timu ya Kmkm ambayo ndio timu inayoongoza ligi ya Zanzibar angalau ilionyesha kupambana na kushambulia japo kikosi cha Yanga kilichotumika ni vijana wadogo wengi wao wapya na wale wasiopata namba mara kwa mara.
Cha kujiuliza hapa je, hii simba, kama imeshindwa kufurukuta kwa wale madogo
Kweli itafika fainali?
Itaweza chukua taji?
Hata huko shirikisho itakuwaje?
Jamani jamani...haya...
Ni mimi shabiki wa Mbeya city lia lia
Nawasilisha