CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Nzuri....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaaa ,we hukumuona yule asukile analia kukosa milioni za gsm,hukumuona kipa wa prison alivyopangua mikwaju ya saidoo.Naona mapigano 5,7 , nk sasa hofu ya nini? Uliyaona magoli ya muamala ya prisons?
Nitakuwekea hapa goli beki anampasia boko afunge. Pure tiGO PesaAhaaa ,we hukumuona yule asukile analia kukosa milioni za gsm,hukumuona kipa wa prison alivyopangua mikwaju ya saidoo.
Referee alikuwa fair sana kawanyima simba penati mbili
Maana yake unataka Simba isajili wachezaji wapya wa kigeni wanne na iachanae na wachezaji wengine wanne wa kigeni?Habari wanamichezo.
Hivi karibuni zimeibuka tetesi Simba SC wanahitaji kuajiri kocha mkuu na kocha anaepewa nafasi kubwa ni yule Mbrazil wa Vipers.
Kwa mtazamo wangu naona Simba SC wanajiandaa kuivuruga timu na kuanza moja.
Kuhitaji kocha mpya kwa sasa huku timu ikiwa kwenye mbio za ubingwa ni kurudisha nyuma maendeleo ya timu hasa kiuchezaji, bado siku 40+ michuano ya klabu bingwa ianze je Simba SC wanatarajia nini?
Ikumbukwe ujio wa kocha mpya kwa sasa kunaweza kuathiri viwango vya baadhi ya wachezaji hivyo kupelekea timu kufeli kufikia malengo.
Kocha Mgunda anatosha vyema, kinachotakiwa kwa sasa Simba ni kujaza nafasi walizo puyanga katika usajili wa dirisha kubwa. Kikosi cha Simba kimekosa Mshambuliaji mahiri na kiungo mkabaji mahiri.
Wachezaji hawa walikuja kujaza nafasi tu ila viwango vyao ni vya kawaida.
1. Dejan (Mshambuliaji) ameshaondoka.
2. Outtara (beki wa kati)
3. Nelson Okwa (Kiungo mshambuliaji)
4. Victor Akpan (Kiungo mkabaji) usajili mbovu kabisa (uwezo anazidiwa na Majogoro)
Iwapo Simba SC itasajili wachezaji wa viwango vya juu kuziba nafasi hizo 4 ambapo nafasi moja tayari Ntibazonkiza ameshasajiliwa basi haina haja ya kocha mpya.
Watu wanaohusika kwenye usajili watazame pia nafasi hizi:-
1. Beki wa kulia (Kapombe hana mbadala sahihi)
2. Beki wa kushoto (Gadiel Michael uwezo wake umeshuka)
3. Beki wa Kati (Onyango sio kuaminika sana, Kennedy amefeli kushindana na Onyango)
4. Kiungo Mkabaji wa viwango vya CAF (hizi tetesi za kutaka kumsajili Nashon wa Geita Gold naona Simba hawapo siriazi kabisa)
Mgunda akipewa wachezaji sahihi na imani ataifikisha timu mbali.
Kama ni habari za kocha mpya, subirini msimu uishe ndiyo muajiri kocha mpya lakini pia aje na wasaidizi wake.
Wakigeni wanaotakiwa kuachwa ni zaidi ya wanne,hata saba wanafikaMaana yake unataka Simba isajili wachezaji wapya wa kigeni wanne na iachanae na wachezaji wengine wanne wa kigeni?
Kama ya saidoo haikuvujaKwa hiyo umeanzisha uzi kutokana na tetesi? Kumbuka Simba ndio timu pekee ambayo taarifa zake za usajili huwa hazivuji.
Timu ifanye usajili wa wachezaji wapya saba wa kigeni dirisha hili ?Wakigeni wanaotakiwa kuachwa ni zaidi ya wanne,hata saba wanafika
Hebu tutajie hao sabaWakigeni wanaotakiwa kuachwa ni zaidi ya wanne,hata saba wanafika
Mkuuu ana familia ujuee😆 😆 😆Hatumtaki nchini aende hata china huko kwani lazima achezee bongo,yule ndio anafanya simba ionekane mbovu,nina imani hata kocha nabi anamshukuru sana ,
Anatakiwa kuvunjwa mguu au atafute nchi ya kuchezea
Hata Phiri na inonga wana familiaMkuuu ana familia ujuee😆 😆 😆
Ndio mm ni Simba damu ila sishabikii watu kuvunjana miguuHata Phiri na inonga wana familia
Gsm anahonga timu pinzani ziwavunje wachezaji wa simbaNdio mm ni Simba damu ila sishabikii watu kuvunjana miguu
Inasikitiha sanaGsm anahonga timu pinzani ziwavunje wachezaji wa simba
Yaani sijui kwakweli ila yule kocha mbrazil akimaliza mechi 6 bila kufukuzwa sijuiSimba 3 Mbeya City 2
Labda ilikua uchovu wa safari, ila timu ilicheza vibaya sana.
1. Yes na kubadili mfumoSimba 3 Mbeya City 2
Labda ilikua uchovu wa safari, ila timu ilicheza vibaya sana.