Simba SC wanaenda kuharibu

Naona mapigano 5,7 , nk sasa hofu ya nini? Uliyaona magoli ya muamala ya prisons?
Ahaaa ,we hukumuona yule asukile analia kukosa milioni za gsm,hukumuona kipa wa prison alivyopangua mikwaju ya saidoo.
Referee alikuwa fair sana kawanyima simba penati mbili
 
Ahaaa ,we hukumuona yule asukile analia kukosa milioni za gsm,hukumuona kipa wa prison alivyopangua mikwaju ya saidoo.
Referee alikuwa fair sana kawanyima simba penati mbili
Nitakuwekea hapa goli beki anampasia boko afunge. Pure tiGO Pesa
 
Mi pia naimani sana na Mgunda

Mechi tulizo poteza au kushindwa kupata alama 3 kulichangiwa na ukosefu wa Quality players ulio wataja

Sijaona mechi ambayo tumefanya vibaya halafu tatizo likaonekana ni kocha

Anyway ngoja ruone itavyo kuwa
 
Maana yake unataka Simba isajili wachezaji wapya wa kigeni wanne na iachanae na wachezaji wengine wanne wa kigeni?
 
Hatumtaki nchini aende hata china huko kwani lazima achezee bongo,yule ndio anafanya simba ionekane mbovu,nina imani hata kocha nabi anamshukuru sana ,
Anatakiwa kuvunjwa mguu au atafute nchi ya kuchezea
Mkuuu ana familia ujuee๐Ÿ˜† ๐Ÿ˜† ๐Ÿ˜†
 
Nailaumu bodi ya wakurugenzi kwa maamuzi waliyo yafanya, wameigharimu timu pakubwa.
 
Pesa za kuahidi bonasi milioni 300 mnashindwa kusajili wachezaji wa maana mnaenda kuokota mchezaji amekaa miezi zaidi ya 8 hajacheza mechi.

Sasa tunafurahia kupiga pasi ila matokeo yamekua adimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ