demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Ngoja tuzungumze kitu.
Kwanini mtani umeshindwa kumuiga Bingwa wa mara zote wa Ligi Kuu linapokuja suala la "Players recruitment"?. Haiwezekani kilaa dirisha la usajili wewe unaacha kundi la wachezaji ambao hawakupata hata asilimia 50 ya playing time.
Mlianza kwa Mohamed Outtara.
Tuliwaonya kuwa mchezaji bora huwezi kumpata kwenye timu kubwa isipokuwa ni star player ambaye umevunja benki kwa ajili yake. Timu yenye malengo makubwa kama Al Hilal sa Sudan isingeweza kumwachia mchezaji Outtara aje kwenu kama angekuwa dhahabu kwenye first 11 yao. Waliamua kuwapa kwakuwa hakuweza kufikia matarajio ya klabu yao.
Vivo hivyo imetokea kwa huyu SAWADOGO.
Timu kubwa kama Diffa El Jadid isingeweza kuwaachieni star player kwa USD 150K. Ni wazi kuwa Sawadogo alikuwa mchezaji msindikizaji kwenye kikosi chao kama alivyokuwa Outtara kwenye timu ya Al Hilal.
Mtani wangu ukafanywa mtaji kwa mara nyingine tena ukaliwa pesa zako. Sasa ni kheri ungepeleka hilo dau Power Dynamo FC mkashindane na jitihada za Bwana Hersi huko. Au mliogopa?
Kwa historia ya nyuma ya Sawa dogo wala hairidhishi.
Ismael Sawadogo:
RC Kadiogo ( Burkina Faso )
2017/18: Al Mabarra ( Lebanon )
2017/18: Salitas ( Burkina Faso )
2018/19 USO ( Burkina Faso )
2019/20: Al Arrabi ( Kuwait )
2019/20: AS Douanes ( Burkina Faso )
2020/21: ENPPI ( Misri )
2021/22: Diffa el Jadida ( Morocco )
Sawa kaja: Simba
Mchezaji gani bora anacheza msimu mmoja alafu anasepeshwa kwingine? Mtani ninakuonea huruma sana kwa kushindwa kufanya sajili za kushindana na w Hersi.
Sasa nasikia mmewapa mkono wa kwaheri Okwa na Akpani. Najua ndio wamesepa mazima maana hamjawahi mrudisha mchezaji mliyempeleka kwa mkopo.
Mtani JIFUNZE MEMA KWA PACHA WAKO. Majivuni yatakumaliza.
Kwanini mtani umeshindwa kumuiga Bingwa wa mara zote wa Ligi Kuu linapokuja suala la "Players recruitment"?. Haiwezekani kilaa dirisha la usajili wewe unaacha kundi la wachezaji ambao hawakupata hata asilimia 50 ya playing time.
Mlianza kwa Mohamed Outtara.
Tuliwaonya kuwa mchezaji bora huwezi kumpata kwenye timu kubwa isipokuwa ni star player ambaye umevunja benki kwa ajili yake. Timu yenye malengo makubwa kama Al Hilal sa Sudan isingeweza kumwachia mchezaji Outtara aje kwenu kama angekuwa dhahabu kwenye first 11 yao. Waliamua kuwapa kwakuwa hakuweza kufikia matarajio ya klabu yao.
Vivo hivyo imetokea kwa huyu SAWADOGO.
Timu kubwa kama Diffa El Jadid isingeweza kuwaachieni star player kwa USD 150K. Ni wazi kuwa Sawadogo alikuwa mchezaji msindikizaji kwenye kikosi chao kama alivyokuwa Outtara kwenye timu ya Al Hilal.
Mtani wangu ukafanywa mtaji kwa mara nyingine tena ukaliwa pesa zako. Sasa ni kheri ungepeleka hilo dau Power Dynamo FC mkashindane na jitihada za Bwana Hersi huko. Au mliogopa?
Kwa historia ya nyuma ya Sawa dogo wala hairidhishi.
Ismael Sawadogo:
RC Kadiogo ( Burkina Faso )
2017/18: Al Mabarra ( Lebanon )
2017/18: Salitas ( Burkina Faso )
2018/19 USO ( Burkina Faso )
2019/20: Al Arrabi ( Kuwait )
2019/20: AS Douanes ( Burkina Faso )
2020/21: ENPPI ( Misri )
2021/22: Diffa el Jadida ( Morocco )
Sawa kaja: Simba
Mchezaji gani bora anacheza msimu mmoja alafu anasepeshwa kwingine? Mtani ninakuonea huruma sana kwa kushindwa kufanya sajili za kushindana na w Hersi.
Sasa nasikia mmewapa mkono wa kwaheri Okwa na Akpani. Najua ndio wamesepa mazima maana hamjawahi mrudisha mchezaji mliyempeleka kwa mkopo.
Mtani JIFUNZE MEMA KWA PACHA WAKO. Majivuni yatakumaliza.