Simba SC Wanakwama Wapi?

Simba SC Wanakwama Wapi?

Utopolo ina mafanikio gani ya kujivunia hadi Simba aige? Yaani ununue wachezaji hadi Congo huko halafu ujivunie ubingwa wa NBC ,ubingwa ambao mmechukua zaidi ya 20 lakini bado mkawa omba omba.
 
Unavunjanja mkataba kwa mchezaji lonyalonya??, Unapoambiwa mchezaji kavunjiwa mkataba ujuwe yupo vizuri....
Hujui kitu mifano ipo mingi tu acha kukaa hapo utopoloni fungua bichwa sio kila chenye bei ghali ni kizuri
 
Mpaka siku mnatoa mwiko nadhani akili zitawajia,haya wewe mbelemwikonyumamwiko hebu fanya hesabu ya magarasa mliosajili kuanzia 2019~2023 ALAFU UJE UTOE UJINGA WAKO,hivi kwa kipi ambacho unaweza kuutangazia umma kuwa utopolo ni bora kwa lipi hasa?timu bora zote zipo klabu bingwa AFRIKA
Watanzania tunalazimishwa tukubali huyu Bwana ni fundi wa mpira, kuna maelezo mengi sana na inatumika nguvu kubwa sana kutufafanulia ubora wake, miaka 5 kacheza timu 8, msimu mmoja alicheza timu 3 tofauti, fundi amekaa msimu mzima bila timu, karibu Tanzania fundi wa mpira. [emoji23][emoji4][emoji24]
 
Watanzania tunalazimishwa tukubali huyu Bwana ni fundi wa mpira, kuna maelezo mengi sana na inatumika nguvu kubwa sana kutufafanulia ubora wake, miaka 5 kacheza timu 8, msimu mmoja alicheza timu 3 tofauti, fundi amekaa msimu mzima bila timu, karibu Tanzania fundi wa mpira. [emoji23][emoji4][emoji24]
umelazimishwa na nani?hebu tukuulize wakati CHAMA anasajiliwa takwimu zake zilifurahisha?MIQ JE?KANOUTE JE?Tuache muda uongee,acheni ulozi,MORRISON alisajiliwa akitokea wapi?alikuwa anacheza?
 
Tupe historia ya miqusson kabla ya kuja simba na baada ya kwenda ahly?..alionekana mbovu na sasa anaonekana mbovu vipi unaamini miqusson ni mbovu?
 
Tupe historia ya miqusson kabla ya kuja simba na baada ya kwenda ahly?..alionekana mbovu na sasa anaonekana mbovu vipi unaamini miqusson ni mbovu?
 
Ngoja tuzungumze kitu.

Kwanini mtani umeshindwa kumuiga Bingwa wa mara zote wa Ligi Kuu linapokuja suala la "Players recruitment"?. Haiwezekani kilaa dirisha la usajili wewe unaacha kundi la wachezaji ambao hawakupata hata asilimia 50 ya playing time.

Mlianza kwa Mohamed Outtara.
Tuliwaonya kuwa mchezaji bora huwezi kumpata kwenye timu kubwa isipokuwa ni star player ambaye umevunja benki kwa ajili yake. Timu yenye malengo makubwa kama Al Hilal sa Sudan isingeweza kumwachia mchezaji Outtara aje kwenu kama angekuwa dhahabu kwenye first 11 yao. Waliamua kuwapa kwakuwa hakuweza kufikia matarajio ya klabu yao.

Vivo hivyo imetokea kwa huyu SAWADOGO.

Timu kubwa kama Diffa El Jadid isingeweza kuwaachieni star player kwa USD 150K. Ni wazi kuwa Sawadogo alikuwa mchezaji msindikizaji kwenye kikosi chao kama alivyokuwa Outtara kwenye timu ya Al Hilal.

Mtani wangu ukafanywa mtaji kwa mara nyingine tena ukaliwa pesa zako. Sasa ni kheri ungepeleka hilo dau Power Dynamo FC mkashindane na jitihada za Bwana Hersi huko. Au mliogopa?

Kwa historia ya nyuma ya Sawa dogo wala hairidhishi.
Ismael Sawadogo:
RC Kadiogo ( Burkina Faso )
2017/18: Al Mabarra ( Lebanon )
2017/18: Salitas ( Burkina Faso )
2018/19 USO ( Burkina Faso )
2019/20: Al Arrabi ( Kuwait )
2019/20: AS Douanes ( Burkina Faso )
2020/21: ENPPI ( Misri )
2021/22: Diffa el Jadida ( Morocco )
Sawa kaja: Simba


Mchezaji gani bora anacheza msimu mmoja alafu anasepeshwa kwingine? Mtani ninakuonea huruma sana kwa kushindwa kufanya sajili za kushindana na w Hersi.

Sasa nasikia mmewapa mkono wa kwaheri Okwa na Akpani. Najua ndio wamesepa mazima maana hamjawahi mrudisha mchezaji mliyempeleka kwa mkopo.

Mtani JIFUNZE MEMA KWA PACHA WAKO. Majivuni yatakumaliza.View attachment 2481431
Kwanini viongozi wetu hawana akili yani wanaleta mchezaji hovyo hovyo na kocha ajui sasa si bora wangemuachia kocha alete mvhezaji bora kutoka Uganda kuliko Viongozi kuokota wachezaji na wakuleta, kocha akisema hana mipango naye je
 
Kwanini viongozi wetu hawana akili yani wanaleta mchezaji hovyo hovyo na kocha ajui sasa si bora wangemuachia kocha alete mvhezaji bora kutoka Uganda kuliko Viongozi kuokota wachezaji na wakuleta, kocha akisema hana mipango naye je
Misimu mi 5 mchezaji kacheza mechi 23 asee
 
Watanzania tunalazimishwa tukubali huyu Bwana ni fundi wa mpira, kuna maelezo mengi sana na inatumika nguvu kubwa sana kutufafanulia ubora wake, miaka 5 kacheza timu 8, msimu mmoja alicheza timu 3 tofauti, fundi amekaa msimu mzima bila timu, karibu Tanzania fundi wa mpira. [emoji23][emoji4][emoji24]
Jamaa ni fundi kweli yaani misimu mi 5 kacheza mechi 23
 
Back
Top Bottom