Simba SC wanatupa somo la mpira, kwamba uwanja wa nyumba ndio uwanja Sahihi wa Team kusonga mbele

Simba SC wanatupa somo la mpira, kwamba uwanja wa nyumba ndio uwanja Sahihi wa Team kusonga mbele

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Wakuu Mimi ni Mwanachama na Shabiki Wa Team Ya Yanga.
.
Kimsingi nimepanda Jinsi Simba walivyoonesha domination ya uwanja wa Nyumbani.
.
Haijalishi ni Uwanja Wa Mkapa au Uwanja wowote Wa Nyumbani.
.
Team makini na Sahihi haiwezi kukubali Kupoteza Kwenye Uwanja Wa Nyumbani kwao ingawa mpira una matokeao ma3.
.
Maana yangu ni kwamba team yoyote inayojua, Ushindi Wa Kwanza au Wa Mwisho Wa Kujihakikishia Kusonga mbele ni uwanja wa Nyumbani Kwenu.
.
Huwezi Kujihakikishia kushinda uwanja wa Ugenini Kama Uwanja Wa Nyumbani Wa Nyumbani umeshindwa.
.
Mimi sizungumzii Habari ya Kwa Mkapa hatoki Mtu nazungumzia Utawala wa uwanja Wa Nyumbani+Kutoka na Matokeo Ambayo ni Sahihi Kwa team ya Nyumbani.
.
Matokea ya kushinda uwanja wa Ugenini ni Matokea ambayo hayana uhakika zaidi.
.
Shida ni Kwamba Goal Moja halinaga Guarantee Kabisa.
 
Utakuwa mpuuzi ni mara ngapi simba ameshinda nyumbani akaenda kutoka!!
 
Wakuu Mimi ni Mwanachama na Shabiki Wa Team Ya Yanga.
.
Kimsingi nimepanda Jinsi Simba walivyoonesha domination ya uwanja wa Nyumbani.
.
Haijalishi ni Uwanja Wa Mkapa au Uwanja wowote Wa Nyumbani.
.
Team makini na Sahihi haiwezi kukubali Kupoteza Kwenye Uwanja Wa Nyumbani kwao ingawa mpira una matokeao ma3.
.
Maana yangu ni kwamba team yoyote inayojua, Ushindi Wa Kwanza au Wa Mwisho Wa Kujihakikishia Kusonga mbele ni uwanja wa Nyumbani Kwenu.
.
Huwezi Kujihakikishia kushinda uwanja wa Ugenini Kama Uwanja Wa Nyumbani Wa Nyumbani umeshindwa.
.
Mimi sizungumzii Habari ya Kwa Mkapa hatoki Mtu nazungumzia Utawala wa uwanja Wa Nyumbani+Kutoka na Matokeo Ambayo ni Sahihi Kwa team ya Nyumbani.
.
Matokea ya kushinda uwanja wa Ugenini ni Matokea ambayo hayana uhakika zaidi.
.
Shida ni Kwamba Goal Moja halinaga Guarantee Kabisa.
Tujikumbushe matokeo yetu ya nyumbani ... Yanga 0 Rivers 1; Yanga 0 Asec Mimosa 3
 
Mzee nikuambie tu kwamba katika hatua hii ya robo fainal hakuna timu ilioshinda kwa zaidi ya tofaut ya goli moja! Iwe huko club bingwa kwakina ahly ushindi mkubwa imekua ni 1-0 hii ni bora kabisa zaidi ya anaeshinda 2-1
 
Mzee nikuambie tu kwamba katika hatua hii ya robo fainal hakuna timu ilioshinda kwa zaidi ya tofaut ya goli moja! Iwe huko club bingwa kwakina ahly ushindi mkubwa imekua ni 1-0 hii ni bora kabisa zaidi ya anaeshinda 2-1
Shida sio matokeo yetu kufanana na kina al ahly

Shida ni sisi kutokuweza kulinda ushindi wetu uwanja wa ugenini, al ahly mwenyewe yale matokeo yalimuhuzunisha, anajua mlima uliopo game 2.
 
Shida sio matokeo yetu kufanana na kina al ahly

Shida ni sisi kutokuweza kulinda ushindi wetu uwanja wa ugenini, al ahly mwenyewe yale matokeo yalimuhuzunisha, anajua mlima uliopo game 2.
Mkuu nikweli! Lakini angalau kwakidogo hiki kilichopatkana kuliko kukosa kabisa! Hilo 1 linatosha kuanzia! Nawale jamaa wanajua kbs wanahitaji kuscore magoli kuanzia mawili kwa bila ndo ahuen yao! Naamin game ya marejeano haitakua nyepesi kwa pirates kama unavyo fikiri
 
simba wanacheza mpira wa kubahatisha sana. Tunamshukuru refa kwa kuwasitiri jana mjiandae kwenda kufumuliwa.
 
Kitendo cha Orlando pirates kutokupata goal taifa hilo ni la kupongezwa kwa simba kule akipata goal moja ana asilimia kubwa za kupita.
 
Wakuu Mimi ni Mwanachama na Shabiki Wa Team Ya Yanga.
.
Kimsingi nimepanda Jinsi Simba walivyoonesha domination ya uwanja wa Nyumbani.
.
Haijalishi ni Uwanja Wa Mkapa au Uwanja wowote Wa Nyumbani.
.
Team makini na Sahihi haiwezi kukubali Kupoteza Kwenye Uwanja Wa Nyumbani kwao ingawa mpira una matokeao ma3.
.
Maana yangu ni kwamba team yoyote inayojua, Ushindi Wa Kwanza au Wa Mwisho Wa Kujihakikishia Kusonga mbele ni uwanja wa Nyumbani Kwenu.
.
Huwezi Kujihakikishia kushinda uwanja wa Ugenini Kama Uwanja Wa Nyumbani Wa Nyumbani umeshindwa.
.
Mimi sizungumzii Habari ya Kwa Mkapa hatoki Mtu nazungumzia Utawala wa uwanja Wa Nyumbani+Kutoka na Matokeo Ambayo ni Sahihi Kwa team ya Nyumbani.
.
Matokea ya kushinda uwanja wa Ugenini ni Matokea ambayo hayana uhakika zaidi.
.
Shida ni Kwamba Goal Moja halinaga Guarantee Kabisa.
The toughest opponent in this competition ni Orlando pirates ndio team hatari katika mashindano haya nashangaa watu wakiibeza simba kwa matokeo ya Jana ile sio mwadui au namungo wale ndio wanaongoza kufunga magoal mengi katika shirikisho na CAF finalist hongoreni kwa kufika final mwaka jana sisi kama simba tunajifunza mengi kutoka kwenu [emoji23][emoji23].
 
Mkuu nikweli! Lakini angalau kwakidogo hiki kilichopatkana kuliko kukosa kabisa! Hilo 1 linatosha kuanzia! Nawale jamaa wanajua kbs wanahitaji kuscore magoli kuanzia mawili kwa bila ndo ahuen yao! Naamin game ya marejeano haitakua nyepesi kwa pirates kama unavyo fikiri
Upo sahihi mzee, mie sina shida na ushindi wa goli moja, shida ni sisi kuanza kutamba kujilinganisha na wengine wakati tunajua chama letu away dhaifu.. Tuombe tuporochoke, kocha hachelewi kupanga mkosi wa hovyo.
 
Kitendo cha Orlando pirates kutokupata goal taifa hilo ni la kupongezwa kwa simba kule akipata goal moja ana asilimia kubwa za kupita.
Ilo goli moja atalipatia wapi kwa mfano,,mastraika wenu kina kibu Denis na mugalu watageuka mabeki wa kuokoa badala ya kushambulia!
 
Mzee nikuambie tu kwamba katika hatua hii ya robo fainal hakuna timu ilioshinda kwa zaidi ya tofaut ya goli moja! Iwe huko club bingwa kwakina ahly ushindi mkubwa imekua ni 1-0 hii ni bora kabisa zaidi ya anaeshinda 2-1

Ni kweli kabisa lakini sijui Kama watakuelewa!! Wamekereka, Kama Simba angefungwa goli moja kwa bila wangechonga Sana, wasingesema ushindi kiduchu. Pia Kama Simba angeanzia ugenini na akashinda goli moja kwa bila pia wangebeza Sana kuwa ushindi kiduchu utapinduliwa!!
 
Back
Top Bottom